Meya wastaafu wa CHADEMA muigeni Boniface Jacob, onesheni wizi unaojitokeza kwenye halimashauri mlizohudumu

Meya wastaafu wa CHADEMA muigeni Boniface Jacob, onesheni wizi unaojitokeza kwenye halimashauri mlizohudumu

sifi leo

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2012
Posts
5,182
Reaction score
8,948
Kwanza nitoe kongore mwa ex Mayor ndugu Mh Bon Yai Kwa uchambuzi wake makini na wa kuaminika hakika ametufugua macho Wana Dsm keep it broo!maana Mkaguzi ameyaandika na kusepa.

Nitoe Rai kwa ex Mayor wote waliokuwa wakiongozwa na Chadema kujitokeza kichambua ripoti za mkaguzi ili kuonesha hali wakati wakiwepo na wakati huu ambapo hawapo madarakani Ili miccm iabike Kwa wizi unao fanywa

Ebu tujiulize mkoa wa Dsm unaongoza Kwa vikundi hewa. Je Bila Bon Yai kuchambua sisi wana DSM tungejua au yangeishia kwenye makaratasi ya mkaguzi?

Jitokezeni myavue nguo majizi.
 
Back
Top Bottom