INAUZWA Meza ya dinning mninga bado mpyaaaa

INAUZWA Meza ya dinning mninga bado mpyaaaa

Ukiw unajua bei za mbao mbona unaelewa tu
Faid yake sio kubwa kwenye ufundi, mbao ngumu kama mkongo na mninga bei sana. .
Mkongo tu 2*8 moja ni 80000/
Mninga haipishani sana
Sasa hapo kama unatengeneza kitanda au mlango,Meza unafikiri zinaingia mbao ngapi
Hapo kna kuranda hadi finishing
Lbda umpate fundi mzuri unaweza kuokoa hela kdg....ila mambo ya wood work ni garama sanaa

Ova
 
Kila jambo lina mda
Ndo mana wengi wananuniua vitanda vya chuma wanajiona wajanja sana
Kiuhalisia vitanda vya mbao ngumu bei sana

Kuna duka keko furniture, bei zake mawe sana. Bidhaa zao zina ubora wanauza ulaya bongo wananunua vitu vingi ubora mdogo. Mtu anayenunua kabati la nguo la kichina hawezi elewa kabati la mninga lina ubora gani. .
Mninga,mkongo yenyewe

Ova
 
Back
Top Bottom