INAUZWA Meza ya dinning mninga bado mpyaaaa

Ukiw unajua bei za mbao mbona unaelewa tu
Faid yake sio kubwa kwenye ufundi, mbao ngumu kama mkongo na mninga bei sana. .
Mkongo tu 2*8 moja ni 80000/
Mninga haipishani sana
Sasa hapo kama unatengeneza kitanda au mlango,Meza unafikiri zinaingia mbao ngapi
Hapo kna kuranda hadi finishing
Lbda umpate fundi mzuri unaweza kuokoa hela kdg....ila mambo ya wood work ni garama sanaa

Ova
 
Mninga,mkongo yenyewe

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…