greater G
JF-Expert Member
- Nov 12, 2016
- 308
- 216
MEZANI FC Watinga ofisi za FIFA
_________________________________________
FIFA: Eeh umefuata nini huku
MEZANI FC: Point zangu tatu za Kagera Sugar
FIFA: Kwani ilikuwaje uzifuate huku
MEZANI: Nilifungwa halafu TFF wakawapa Kagera point zangu
FIFA: Huko kwenu mtu akifungwa point tatu anapeawa nani?:
MEZANI: Aliyeshinda
FIFA: Jamani eeeeh . . . . niitieni Daktari wa vichaa kuna kichaaa kapotea njia hapa . . .
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji38][emoji38][emoji38][emoji28][emoji38][emoji38][emoji38][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]
_________________________________________
FIFA: Eeh umefuata nini huku
MEZANI FC: Point zangu tatu za Kagera Sugar
FIFA: Kwani ilikuwaje uzifuate huku
MEZANI: Nilifungwa halafu TFF wakawapa Kagera point zangu
FIFA: Huko kwenu mtu akifungwa point tatu anapeawa nani?:
MEZANI: Aliyeshinda
FIFA: Jamani eeeeh . . . . niitieni Daktari wa vichaa kuna kichaaa kapotea njia hapa . . .
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji38][emoji38][emoji38][emoji28][emoji38][emoji38][emoji38][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]