princess ariana
JF-Expert Member
- Aug 19, 2016
- 9,245
- 18,347
habari za mda huu..
Nahisi nmepata mfadhaiko
1.nina hofu iliozidi
2. najisikia kizungu zungu mno
3.. uchovu mwingi mda wote
4. sina hamu ya kula,japo najisikia njaa
5. mdomo unakauka muda wote
6. mapigo ya moyo yanaenda kasi sana, kwa sababu nashituka shutuka mara kwa mara
7. tumbo limejaa tu
kikubwa nina hofu sana, na mawazo mengi.
JE NIFANYE NINI ILI NIWE KAWAIDA ,MAANA HALI INANIKOSESHA AMANI NA NDIO INAZIDI KUONGEZEKA..
imeanza tangu juzi , mpaka sasa sina raha
Nahisi nmepata mfadhaiko
1.nina hofu iliozidi
2. najisikia kizungu zungu mno
3.. uchovu mwingi mda wote
4. sina hamu ya kula,japo najisikia njaa
5. mdomo unakauka muda wote
6. mapigo ya moyo yanaenda kasi sana, kwa sababu nashituka shutuka mara kwa mara
7. tumbo limejaa tu
kikubwa nina hofu sana, na mawazo mengi.
JE NIFANYE NINI ILI NIWE KAWAIDA ,MAANA HALI INANIKOSESHA AMANI NA NDIO INAZIDI KUONGEZEKA..
imeanza tangu juzi , mpaka sasa sina raha