Mfadhili Mkuu wa Captein Traore Ashutumiwa Kuiba Dhahabu ya Afrika Ili Kugharamia Vita na Ukraine.Russia ni Beberu Hajawahi Rafiki wa Afrika.

Kwani Kuna Nchi Huwa inalazimishwa kukopa Hadi iwaume? ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Akawaulize kina Nyerere
Ndio, mfano nchi za Commonwealth ukigoma kukopa, unafanyiwa zengwe upinduliwe au uuwawe, au vikwazo vya kiuchumi, Djibouti aligoma kukopa, uliza kilichompata
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ