Sasa mfano mfadhili wa asas za kiraia (NGOS) ambayo yeye ni mtoaji tu ananufaika vipi?Bila shaka huwa wanaanza kuweka hela na baadae wanachukua hela yao na faida baada ya ligi kuisha
Faida inapatikana kutokana na viingilio vya mashabiki pamoja na ile haki ya matangazo inayouzwa kwa aneonesha ligi kama azam
Faida ambayo ni nje ya pesa wanaamini ni njia ya kujitangaza zaidi na kuongeza namba ya wateja
Nimekupata kiongozi shukraniKuna faida nyingi sana mojawapo kubwa ni kujitangaza, kama nbc anatangaza biashara yake kwenye matangazo live ya nbc premier league.
Hapo anatapata wateja wapya na brand yake inakua sana si unajua biashara matangazo.
Kampuni pia za vinywaji na vitu vingine zinaongeza mauzo kupitia matangazo kuwavutia wateja wapya, unaweza kuwa na product nzuri lakini bila ya kuitangaza ni kazi kuwa na mauzo ya kueleweka.
Hakuna kitu kama hiko.Bila shaka huwa wanaanza kuweka hela na baadae wanachukua hela yao na faida baada ya ligi kuisha
Faida inapatikana kutokana na viingilio vya mashabiki pamoja na ile haki ya matangazo inayouzwa kwa aneonesha ligi kama azam
Faida ambayo ni nje ya pesa wanaamini ni njia ya kujitangaza zaidi na kuongeza namba ya wateja
Baadhi ya NGOs ni ustaarabu tu wa wazungu au watu weupe kuamua kusaidia wa afrika,yaan naona mungu huwa anaingia ndani mwao kuamua tu kutusaidia,maana unakuta huko hzo NGOs zilipoundwa ni kikundi cha watu wanaamua kukata vipato vyao kwa asilimia fulani na kuchangia kwenye NGOsSasa mfano mfadhili wa asas za kiraia (NGOS) ambayo yeye ni mtoaji tu ananufaika vipi?
Kuna kampuni ambazo zinaweza kufanya kurudisha kwa jamii ila sio bankHakuna kitu kama hiko.
mdhamini huwa ni mtu anayetoa huduma flani au kuuza bidhaa flani.
So yy anatangaza biashara yake. Anapata wateja unapoangalia mpira wa ligi kuu utaona matangazo yake kila sehemu kuanzia jezini, uwanjani hadi kwenye tv.
Pia ni moja ya njia ya kurudisha kwa jamii.
Utanisahihisha kama nimekosea.Hakuna kitu kama hiko.
mdhamini huwa ni mtu anayetoa huduma flani au kuuza bidhaa flani.
So yy anatangaza biashara yake. Anapata wateja unapoangalia mpira wa ligi kuu utaona matangazo yake kila sehemu kuanzia jezini, uwanjani hadi kwenye tv.
Pia ni moja ya njia ya kurudisha kwa jamii.
me nimezungumza kwa jumla.Kuna kampuni ambazo zinaweza kufanya kurudisha kwa jamii ila sio bank
Bank huwa wanautaratibu wa pesa izae pesa
Wewe ni muongoo mkubwa!Bila shaka huwa wanaanza kuweka hela na baadae wanachukua hela yao na faida baada ya ligi kuisha
Ni hiari mkuu. Na ni mnatakiwa kushinda tenda. mfano board ya ligi wanakuwa na vigezo vyao.Utanisahihisha kama nimekosea.
Kutokana na maelezo yako akili imeniambia inaitwa corporate governance( ile ya kurudisha fadhila kwa jamii inayozunguka hiyo biashara) na nafikili kuna sheria kabisa inayotaka wamiliki wafanye hivyo, ila ufadhili si jambo la hiari?
Just to provide services to the societySasa mfano mfadhili wa asas za kiraia (NGOS) ambayo yeye ni mtoaji tu ananufaika vipi?
Tunahitaji mdhamini tupate pesa kuendeshea ligi sio tuje tena kumpa pesa.Bila shaka huwa wanaanza kuweka hela na baadae wanachukua hela yao na faida baada ya ligi kuisha
Kikubwa ni kujitangaza pia kutengeneza goodwill katika biasharaSasa mfano mfadhili wa asas za kiraia (NGOS) ambayo yeye ni mtoaji tu ananufaika vipi?
Mfadhili wa NGO anapata faida ya kueneza utamaduni wakeSasa mfano mfadhili wa asas za kiraia (NGOS) ambayo yeye ni mtoaji tu ananufaika vipi?
Kwa nini wamagaribi wanafadhili NGOs?Sasa mfano mfadhili wa asas za kiraia (NGOS) ambayo yeye ni mtoaji tu ananufaika vipi?