entry
JF-Expert Member
- Apr 11, 2018
- 286
- 539
Habarini wakuu, naomba niongeze maarifa, hivi mfadhili wa kitu fulani mfano NBC walivyofadhili ligi kuu wanafaidikaje, au unasikia mwanasiasa fulani kafadhili kitu.
Nia yangu nataka kujua faida anazopata iwe kifedha na sio za kifedha.
Naamini majibu yenu yatatusaidia vijana tuweze kuongeza nguvu ya ushawishi(kutaja faida atakazo zipata mfadhili) katika proposal zetu za kutafuta wafadhili katika shughuli zetu
Asanteni nawasilisha
Nia yangu nataka kujua faida anazopata iwe kifedha na sio za kifedha.
Naamini majibu yenu yatatusaidia vijana tuweze kuongeza nguvu ya ushawishi(kutaja faida atakazo zipata mfadhili) katika proposal zetu za kutafuta wafadhili katika shughuli zetu
Asanteni nawasilisha