Mfadhili wa kitu fulani anafaidika vipi?

Mfadhili wa kitu fulani anafaidika vipi?

Mimi nadhani nbc waliweka sharti kila mchezaji alipwe kupitia nbc account

Hapo ukichukua timu 16 na kila timu ina wachezaji 25

16×25=400

Hao wote wanalipwa na timu zao kupitia nbc na kisha nbc kuongeza mapato kupitia bank charges za kila mwezi na atm charges unapotoa
 
Sasa mfano mfadhili wa asas za kiraia (NGOS) ambayo yeye ni mtoaji tu ananufaika vipi?
Mfano kama gharama ya project ni 10mil, wao wanaomba 13mil kutoka kwa wafadhili. Hapo hiyo 3mil wanasema ni ya usimamizi so inakua ndio faida yao
 
Mimi nadhani nbc waliweka sharti kila mchezaji alipwe kupitia nbc account

Hapo ukichukua timu 16 na kila timu ina wachezaji 25

16×25=400

Hao wote wanalipwa na timu zao kupitia nbc na kisha nbc kuongeza mapato kupitia bank charges za kila mwezi na atm charges unapotoa
Hii ina make sense
 
Back
Top Bottom