je parle
JF-Expert Member
- Nov 28, 2018
- 2,022
- 3,919
Mimi nadhani nbc waliweka sharti kila mchezaji alipwe kupitia nbc account
Hapo ukichukua timu 16 na kila timu ina wachezaji 25
16×25=400
Hao wote wanalipwa na timu zao kupitia nbc na kisha nbc kuongeza mapato kupitia bank charges za kila mwezi na atm charges unapotoa
Hapo ukichukua timu 16 na kila timu ina wachezaji 25
16×25=400
Hao wote wanalipwa na timu zao kupitia nbc na kisha nbc kuongeza mapato kupitia bank charges za kila mwezi na atm charges unapotoa