Kuna thread nyingi zinazungumzia hilo hapa sio mahala pake.Bado na hapa wale wanaomficha dreva kwa kisingizio cha kisaikolojia wabanwe vizuri
Duuh mkuu hii breakfast si mchezo mchezo
mumeshupalia dereva weee, haya wale walinzi wanamlinda naibu speaker na waziri sasa hivi ambao ni karibu na walinzi wa geti mbona hamuwagusi, hao inafaa wawekwe ndani kwanza mpaka pale tundu akipona ndio watolewe, lakini mnarusha rusha miguu tu, ati tunamtaka derevaBado na hapa wale wanaomficha dreva kwa kisingizio cha kisaikolojia wabanwe vizuri
Kweli tupumumeshupalia dereva weee, haya wale walinzi wanamlinda naibu speaker na waziri sasa hivi ambao ni karibu na walinzi wa geti mbona hamuwagusi, hao inafaa wawekwe ndani kwanza mpaka pale tundu akipona ndio watolewe, lakini mnarusha rusha miguu tu, ati tunamtaka dereva
SASA USHASEMA WALINZI WA NAIBU SPIKA KWANI MAJUKUM YAO ULIAMBIWA NI KUMLINDA LISSU AU NAIBU SPIKA?mumeshupalia dereva weee, haya wale walinzi wanamlinda naibu speaker na waziri sasa hivi ambao ni karibu na walinzi wa geti mbona hamuwagusi, hao inafaa wawekwe ndani kwanza mpaka pale tundu akipona ndio watolewe, lakini mnarusha rusha miguu tu, ati tunamtaka dereva
Bado na hapa wale wanaomficha dreva kwa kisingizio cha kisaikolojia wabanwe vizuri
Bonge la break fast mkuu
YUPO UPANDE WA KENYALakini unajua Dinga yupo upande gani au unaropoka hapo kweye keyboard?
YUPO UPANDE WA KENYA
Kumbe wewe lengo lako ni kubishana?DuhNajua umeelewa ila unapindisha , na kama hukuelewa basi kumbe sistahili hata kubishana na wewe.
Kwahiyo dereva haletwi kwa sab hawajakamatwa walinzi wa n/spk au kwa sababu anaumwa?mumeshupalia dereva weee, haya wale walinzi wanamlinda naibu speaker na waziri sasa hivi ambao ni karibu na walinzi wa geti mbona hamuwagusi, hao inafaa wawekwe ndani kwanza mpaka pale tundu akipona ndio watolewe, lakini mnarusha rusha miguu tu, ati tunamtaka dereva