Mfahamju balozi Job Lusinde na kisa cha kusisimua wakati wa vuguvugu la mwaka 1994

historia safi sana Mohamed Said
maka sasa tuna sintofahamu kuhusu nani alietengeneza ngao ya taifa ni kwa sababu kama hizi historia tumeitupa
 
Kirikou nikikutana na Mzee Lusinde Makaburi ya Kisutu nikenda kumwamkia na nikampa kitabu cha Abdul Sykes kisha nikamuomba nimpige picha akakubali. Nikiipata maktaba nitaiweka hapa Majlis.


Job Lusinde Makaburi ya Kisutu
 
Huyo Mzee aliyevaa Suti
MeinKempf,
Naam ndiye Ali Juma Ponda kabila Mmanyema.

Katika kitabu alichohariri John Ilife, ''Modern Tanzanians,'' kuna historia ya
Ali Ponda na Hassan Taufiq Suleiman.

Historia yao inasisimua.

Hassan Suleiman alitoa nyaraka zake zote za TAA na kumkabidhi Rashid
Kawawa
kwa ajili ya Maktaba ya CCM Dodoma.
 
Hakuna Jaribio la Mapinduzi Duniani ambalo halilengi kumpindua Rais wa Nchi kasoro hili la Tanganyika 1964[emoji12][emoji12][emoji12]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…