Mfahamu Albert Fish, al maarufu kama The Brooklyn Vampire

Mfahamu Albert Fish, al maarufu kama The Brooklyn Vampire

Aisee

Sikupata kabla, sjui kwanini labda ni kutokana na Kakabiliwa na Vimajukumu

Roho za kula nyama za watu na kutesa nimeziskia sana kwenye simulizi , mara nyingi roho hizo wanamiliki watu wanaoitwa wachawi...binadamu wa kawaida unatoa wapi hio roho

aisee kuna vingi vipya humo kwangu kuna maarifa hongera mkuu[emoji120]

Asante pia [emoji120] Karibu sana Mkuu
 
Aisee

Sikupata kabla, sjui kwanini labda ni kutokana na Kakabiliwa na Vimajukumu

Roho za kula nyama za watu na kutesa nimeziskia sana kwenye simulizi , mara nyingi roho hizo wanamiliki watu wanaoitwa wachawi...binadamu wa kawaida unatoa wapi hio roho

aisee kuna vingi vipya humo kwangu kuna maarifa hongera mkuu[emoji120]

@Mshana Jr tunaomba utuwekee desa kwenye hili alilozungumza @daVinci XV Kuhusu roho chafu ya binadamu ya kula nyama ya binadamu na kutesa!!
 
Back
Top Bottom