Mfahamu aliyekiri kuhusika na kifo cha Bob Marley

Mfahamu aliyekiri kuhusika na kifo cha Bob Marley

Kweli kabisa mkuu ukishatubu Mungu wetu ni mwaminifu sana anasamehe dhambi zote
Nami pia naamini hivo mkuu ila nafsi yangu haiamini kama KUUA MTU kuna msamaha kwa kweli.
Damu ya mtu inaita, usicheze na uhai wa mtu... nimekua mgumu sana kuamini kama ukiua unasamehewa kwa kweli.
Kuua kwangu mimi ni dhambi kubwa kushinda zote hapa duniani.
 
Nami pia naamini hivo mkuu ila nafsi yangu haiamini kama KUUA MTU kuna msamaha kwa kweli.
Damu ya mtu inaita, usicheze na uhai wa mtu... nimekua mgumu sana kuamini kama ukiua unasamehewa kwa kweli.
Kuua kwangu mimi ni dhambi kubwa kushinda zote hapa duniani.
Hata mm huwa najiuliza sana juu ya hili jambo lkn nakosa jibu la moja kwa moja
Kuua mtu nidhambi kubwa sana sana lkn kuna watu huwa wanaenjoy sana kushuhudua mtu anakata roho mbele yake
 
Unasema Bob hajawahi kuwa tishio kwa America?uliwahi kuusikiliza Rat race ?Je Babylon system? Interview Zake kuanzia 56 hope road Kingston. Kensington Gardens London hadi ile ya Essex house New York mwaka 80?. Je unafahamu kwamba yeye ndio alikua Bankroller mkuu wa Amnesty International, kuanzis mid70s'hadi early 80's? Jee wajua during struggle for African Independence Alichangia Millions of dollars?
 
Hata mm huwa najiuliza sana juu ya hili jambo lkn nakosa jibu la moja kwa moja
Kuua mtu nidhambi kubwa sana sana lkn kuna watu huwa wanaenjoy sana kushuhudua mtu anakata roho mbele yake
Nimewahi waona hao hawapo vizuri kisaikolojia ni watu walioharibikiwa akili.
Mtu mwenye akili timamu hawezi fanayy hiyo kitu.
 
Huna ujualo... Ni bora kusoma comment ukajifunza kitu kuliko kuchangia kitu usichokijua.
Bob angekufa kwa sumu ingejulikana maana madaktari wangesema, alikufa kwa ugonjwa wa Kansas aliyokuwa nayo kitambo...
Pili bob hajawahi kuwa tishio kwa nchi yoyote ile, zitazame nyimbo zake kama Alana za tishio lipo
 
Mkuu vitu hivyo hawezi kuvijua huyo msikilizaji wa kwaya hawezi kujua kuhusu Bob na mziki wa reggae
Unasema Bob hajawahi kuwa tishio kwa America?uliwahi kuusikiliza Rat race ?Je Babylon system? Interview Zake kuanzia 56 hope road Kingston. Kensington Gardens London hadi ile ya Essex house New York mwaka 80?. Je unafahamu kwamba yeye ndio alikua Bankroller mkuu wa Amnesty International, kuanzis mid70s'hadi early 80's? Jee wajua during struggle for African Independence Alichangia Millions of dollars?
 
Unasema Bob hajawahi kuwa tishio kwa America?uliwahi kuusikiliza Rat race ?Je Babylon system? Interview Zake kuanzia 56 hope road Kingston. Kensington Gardens London hadi ile ya Essex house New York mwaka 80?. Je unafahamu kwamba yeye ndio alikua Bankroller mkuu wa Amnesty International, kuanzis mid70s'hadi early 80's? Jee wajua during struggle for African Independence Alichangia Millions of dollars?
You said well, kiongozi Bob alikuwa tishio kubwa kwa babilons (white man) na amechangia pakubwa katika alakati za afrika kupata Uhuru, Amani na umoja, refer African unit, Zimbabwe, real situation nk. Hivyo kwa namna yoyote ile ilikuwa lazima afe kwa maslai ya ngozi nyeupe.
800px-Bob-marley-wailers-crystal-palace.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom