Alizaliwa Argentina kwenye mji unaoitvwa ROSARIO; nilibahatika kufika kwenye nyumba aliyozaliwa shujaa huyu tulipotembelea huko na marehemu R.i.P. Patrick Qorro!!
kumbe ndio wewe, ntakuwa nakufahamu vizuri sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alizaliwa Argentina kwenye mji unaoitvwa ROSARIO; nilibahatika kufika kwenye nyumba aliyozaliwa shujaa huyu tulipotembelea huko na marehemu R.i.P. Patrick Qorro!!
kumbe ndio wewe, ntakuwa nakufahamu vizuri sana
umeuliza ama umtuelezMbona camilo ndo castro mwenyewe?
umeuliza ama umtuelezMbona camilo ndo castro mwenyewe?
Hiyana kubwa na usaliti ulipita kati yao !!miaka 39
Hapa Nahisi Kuna CHAI KabisaSidhani kama kweli unaweza kunifahamu kwani marehemu Patrick Qorro R.I.P. alikuwa na marafiki wengi sana na kwemye msafara ule tulikuwa wengi!!
Jambo usilolijua ni sawa na usiku wa gizaHapa Nahisi Kuna CHAI Kabisa
uko vizuri mkuuAlizaliwa Argentina kwenye mji unaoitvwa ROSARIO; nilibahatika kufika kwenye nyumba aliyozaliwa shujaa huyu tulipotembelea huko na marehemu R.i.P. Patrick Qorro!!
Acha Kupenda Kitonga, Take Your Time To GoogleMkuu haya mapinduzi ya cuba yalilenga nini hasa??na mchango wake duniani hasa kwa sisi weusi wa africa Ilikuwa ni nini???
Pamoja mkuu...Naona unamkubali sana mkuu had kumweka kama avatar yako!thanks kwa elimu
Aisee kapuku mwenzangu, hapa tulikua hatujuani.Mkuu, hongera kwa kutujuza taarifa nzuri ya Mwanamapinduzi Camilo.
Katika ubora wako...Che Guevara alikuwa handsome
Aisee...Hazikuwahi kupunguza uzuri wake
[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] ndio mkuuKatika ubora wako...
asante.Castro alifanya kila awezalo kuwa undermine wanamapinduzi wenzie. Che mwenyewe alidharaulika ikabidi aende kukomboa wengine ambapo tetesi ni kuwa Castro aliwatonya watesi wa che wapi alipokuwa ili wamuue. U communist ni sumu kuliko ubepari sababu hawa macommunist wanataka wawe na tabaka la juu la wenye nacho kama ilivyo China, Cuba na North Korea ambavyo inatokea sasa kwa Urusi chini ya Putin halafu wengine mfyate midomo, mikono na mikia yenu. That is the way to survive. Kila mara ni mapinduzi ya watu wa chini na kati kama tunavyosema sasa "maskini" tusubiri foreni za sukari, unga, ndala za Arusha tu Moshi, Petrol nk. Angalia Venezuera na Brazil nchi zina utajiri lakini kunani?? Madulo kafanya watu wake wawe kama mbwa mitaani. na mtangulizi wake ndo alimwita Castro baba.
Asante bibiiiiCastro alifanya kila awezalo kuwa undermine wanamapinduzi wenzie. Che mwenyewe alidharaulika ikabidi aende kukomboa wengine ambapo tetesi ni kuwa Castro aliwatonya watesi wa che wapi alipokuwa ili wamuue. U communist ni sumu kuliko ubepari sababu hawa macommunist wanataka wawe na tabaka la juu la wenye nacho kama ilivyo China, Cuba na North Korea ambavyo inatokea sasa kwa Urusi chini ya Putin halafu wengine mfyate midomo, mikono na mikia yenu. That is the way to survive. Kila mara ni mapinduzi ya watu wa chini na kati kama tunavyosema sasa "maskini" tusubiri foreni za sukari, unga, ndala za Arusha tu Moshi, Petrol nk. Angalia Venezuera na Brazil nchi zina utajiri lakini kunani?? Madulo kafanya watu wake wawe kama mbwa mitaani. na mtangulizi wake ndo alimwita Castro baba.
Mkuu hii avatar yako umeitendea haki aisee, asante kwa kutujuzaPamoja mkuu...