mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Aliishi zenji, walikimbia yale machafuko ya 1964 ndiyo wakaenda uingerezaHuyu mzenji hakukaa hapa kwa Nyerere. Ukisema mzawa muweke Bi Kidude au Sitti rekodi zao sidhani kama kizazi kipya kimezivunja.
Sehemu alipoishi utotoni mpaka leo ni kivutio
Kwa watalii wanaotoka uingereza kuja zenji..
Ova