Mlamba Chumvi
JF-Expert Member
- Oct 29, 2016
- 408
- 409
Hiv hii ni kweli au ni photo editing maana bado sielewi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wenye pesa hawajisumbui na kuvaa nguo za gharama!!! Angalia Zuckerbeg wa facebook anavyovaa; ni t-shirts mpauko kila leo!!!Mbona kavaa kama mimi sasa
Matajiri wanavaa simpleMbona kavaa kama mimi sasa
Unamuongelea Mr. Beast?Kuna boya mwingine kanunua gari arobain kwaajili ya subscribers wake kitu wasichokijua wadau wengi wanao ona kama too much show off ni kwamba hawa watu wanaingiza mpunga kwa luxury life styles zao
Ila hela zao wanapeleka kwenye passion zao zaidi ambazo zina gharimu kuliko.Wenye pesa hawajisumbui na kuvaa nguo za gharama!!! Angalia Zuckerbeg wa facebook anavyovaa; ni t-shirts mpauko kila leo!!!
Masikini kama wewe ndio mnajisumbua na kuvaa designer clothes ili nanyi muonekane kama vile mna pesa just to feed your inferiority complex!
Ni kweli Aisee chalii yangu yani maphotoshop ya Hatarii afe tu jamaa tupate ahueni
Kwani alimwibia au kumdhulumu mtu pesa zake?Jamaa anashambuliwa kweli kwenye youtube comments wadau wanadai kazidisha kujionyesha mwezi hupiti ananua gari la gharama YATOSHA.
Kweli kabisa mimi naamini hapa bongo kuna watu wana uwezo wa kumiliki hayo ma Lambo, Ferrari , RR etc lakini tatizo barabaraIla mengi ya hayo Magari hamna barabara za kuendeshea kwa Tanzania nayoijua mimi
Na speaKweli kabisa mimi naamini hapa bongo kuna watu wana uwezo wa kumiliki hayo ma Lambo, Ferrari , RR etc lakini tatizo barabara
Ungesikia anamiliki joka la kutoa hela [emoji23][emoji23]Angekuwa ni Mwafrica kafanya hii show off pasingekalika hapa...
Na sio tu barabara, Takukuru nao wataanza kukufuatiliaKweli kabisa mimi naamini hapa bongo kuna watu wana uwezo wa kumiliki hayo ma Lambo, Ferrari , RR etc lakini tatizo barabara
Hata sisi tunayo huku bongo mengi tu sema tume lay low ukiyapiga picha ukayarusha mtandaoni kesho yake wanakudaka wanakupiga Money Laundering......Inakuwaje wanaJF
Kijana huyu Mwingereza Tim Burton mwenye umri wa miaka 33 alizaliwa tarehe 17/09/1987.
Anajulikana kwa jina la utani kama Shmee150. Ni car blogger, entrepreneur na youtuber ana followers zaidi ya 2m.
Ana utajiri wa dollar 15 M. Ana collection ya magari ya kifahari ya kutisha hasa super cars. Ambazo hana aibu kuzianika.
Juzi siku nne zilizopita kavuta mchuma wa maana Mercedes Benz AMG GTR Roadster. Na kabla mwaka uisha anataka kuvuta michuma mengine ya uhakika.
View attachment 1632479View attachment 1632480View attachment 1632481View attachment 1632483View attachment 1632486View attachment 1632489View attachment 1632489
Ni kweli hivyo ndio tuvaavyo,life is the choice.Matajiri wanavaa simple
AhaaaaNi kweli hivyo ndio tuvaavyo,life is the choice.