Mfahamu Howard Stern: Mtangazaji Tajiri zaidi Duniani

Mfahamu Howard Stern: Mtangazaji Tajiri zaidi Duniani

Nenda kagugo "Howard stern show"
Zitakuja picha lukuki uko mtandaoni.

Ila kama unataka video za show zote za Howard stern,
ingia Xvideos (za bure bure) au pornhub (za kulipia) . Utazikuta nyng Sana[emoji4]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Hahahaah ila jamiiforums raha sana. Yaani kuna watu wame-specialize kwenye baadhi ya mambo tu. Kwa kuwataja wachache;
1. DeepPond huyu ni ishu zinazohusu tasnia ya porn.
2. Mshana Jr huyu ni ishu za kichawi.
3. Habibu B. Anga na mambo ya ujasusi.
4. johnthebaptist bwashee......!!! CHADEMA wanamtambua.
5. GENTAMCYNE "Popoma".....😄
6. mrangi ... mzee wa Kinondoni sio muanzisha uzi sana ila kwa ishu zinazohusiana na mjini utakuta comments zake zilizotukuka.
7. Mohamed Said ..... mzee wetu ni maalum kwa ishu za familia ya Sykes na uislam.
 
Hahahaah ila jamiiforums raha sana. Yaani kuna watu wame-specialize kwenye baadhi ya mambo tu. Kwa kuwataja wachache;
1. DeepPond huyu ni ishu zinazohusu tasnia ya porn.
2. Mshana Jr huyu ni ishu za kichawi.
3. Habibu B. Anga na mambo ya ujasusi.
Dira...
Nigependa kueleza kidogo kuhusu kuwa mimi nimespecialise chembelecho ''ishu'' ya familia ya Sykes na Uislam.

Tuanze na ukoo wa Sykes.

Waandishi wa historia ya Tanganyika walitishwa na vitu vitu viwili navyo ni Sykes kutawala harakati za Waafrika katika kupigania haki za Waafrika kuanzia mwaka wa 1929 hadi ulipopatikana uhuru 1961.

Mwaka wa 1929 historia hii inaanza na baba, Kleist Sykes hadi alipofariki 1949.
1950 hadi 1961 harakati hizi zinapokelewa na wanae Abdul, Ally na Abbas.

Ukoo huu ulikuwa na ushawishi mkubwa katika AA, TAA na TANU na pia katika Al Jamiatul Islamiyya fi Tanganyika chama alichoanzisha baba yao 1933 pamoja na wenzake kama Ali Jumbe Kiro na Mzee bin Sudi kwa kuwataja wachache.

Hii Al Jamiatul Islamiyya fi Tanganyika ilianzishwa na viongozi wale wale ambao walikuwa wanaongoza AA katika miaka hiyo.

Hii ndiyo sababu huwezi kuuondoa Uislam katika harakati za kuunda TANU na kupigania uhuru wa Tanganyika.

Hiki ndicho chanzo cha tatizo linalotaabisha wengi wenu.

Mnataka kuifuta historia hii na mumpachike Julius Nyerere awe ndiye muasisi wa TANU na kuwa kapigania uhuru wa Tanganyika peke yake akiwa hana ofisi, hana watu wala hana fedha.

Kafika Dar es Salaam kafungua ofisi kajulikana na watu na wa watu wakamuunga mkono na akawa anajaza watu katika mikutano ya TANU Mnazi Mmoja bila ya msaada wa mtu yeyote.

Mimi nimesahihisha haya kwa kuzipitia Nyaraka za Sykes na nyaraka hizi zikanipa historia yote kama ilivyokuwa.

Ikiwa kuandika haya kwako ni ''specialisation'' ya Sykes ningependa kukukumbusha kuwa umesahau kuwaongeza wale ambao ''specialisation,'' yao ni Julius Nyerere peke yake.

Nakuomba uwaongeze hawa katika orodha yako kwani hawa wamebobea kwa miaka mingi katika kazi hii iliyowaondosha wazalendo wengi katika historia ya TANU na uhuru wa Tanganyika wakabakia na Nyerere peke yake.

Hawa hawaruhusu mzalendo yeyote atajwe katika historia ya TANU na uhuru wa Tanganyika.

Lakini mimi sikuspecialise kwa Sykes peke yake.

Nimewarejesha katika historia wazalendo wengi wakawa ''speciality'' zangu : Chief David Kidaha Makwaia, Dr. Vedasto Kyaruzi, Dr. Michael Lugazia, Dr. Luciano Tsere, Dr. Joseph Mutahangarwa, Dr. Wilbard Mwanjisi, Japhet Kirilo, Dome Okochi Budohi, Denis Phombeah, Zuberi Mtemvu, Mshume Kiyate, Joseph Kimalando, Sheikh Suleiman Takadir, Sheikh Mohamed Yusuf Badi, Sheikh Abdallah Rashid Sembe, Hamisi Kheri, Sheikh Said Chaurembo, Mshume Kiyate, Sheikh Mohamed Ramiyya, Iddi Faiz Mafungo, Iddi Tosiri, Amina Kinabo, Hawa bint Maftah, Nyange bint Chande, Mama Bint Mwalimu, Halima Selengia, Zarula bint Abdulrahman, Chiku bint Said Kisusa Abdulrahman wengi, wengi, wengi sana.

Wake kwa waume nimeandika historia zao katika kupigania uhuru wa Tanganyika.
Sikumwandika Abdulwahid Kleist Sykes peke yake.

Kitabu chake kipo sasa tunakwenda chapa ya tano na hapa JF tunakijadili kitabu sasa takriban miaka 10.

1649883586353.png


1649883643527.png
 
Dira...
Nigependa kueleza kidogo kuhusu kuwa mimi nimespecialise chembelecho ''ishu'' ya familia ya Sykes na Uislam.

Tuanze na ukoo wa Sykes.

Waandishi wa historia ya Tanganyika walitishwa na vitu vitu viwili navyo ni Sykes kutawala harakati za Waafrika katika kupigania haki za Waafrika kuanzia mwaka wa 1929 hadi ulipopatikana uhuru 1961.

Mwaka wa 1929 historia hii inaanza na baba, Kleist Sykes hadi alipofariki 1949.
1950 hadi 1961 harakati hizi zinapokelewa na wanae Abdul, Ally na Abbas.

Ukoo huu ulikuwa na ushawishi mkubwa katika AA, TAA na TANU na pia katika Al Jamiatul Islamiyya fi Tanganyika chama alichoanzisha baba yao 1933 pamoja na wenzake kama Ali Jumbe Kiro na Mzee bin Sudi kwa kuwataja wachache.

Hii Al Jamiatul Islamiyya fi Tanganyika ilianzishwa na viongozi wale wale ambao walikuwa wanaongoza AA katika miaka hiyo.

Hii ndiyo sababu huwezi kuuondoa Uislam katika harakati za kuunda TANU na kupigania uhuru wa Tanganyika.

Hiki ndicho chanzo cha tatizo linalotaabisha wengi wenu.

Mnataka kuifuta historia hii na mumpachike Julius Nyerere awe ndiye muasisi wa TANU na kuwa kapigania uhuru wa Tanganyika peke yake akiwa hana ofisi, hana watu wala hana fedha.

Kafika Dar es Salaam kafungua ofisi kajulikana na watu na wa watu wakamuunga mkono na akawa anajaza watu katika mikutano ya TANU Mnazi Mmoja bila ya msaada wa mtu yeyote.

Mimi nimesahihisha haya kwa kuzipitia Nyaraka za Sykes na nyaraka hizi zikanipa historia yote kama ilivyokuwa.

Ikiwa kuandika haya kwako ni ''specialisation'' ya Sykes ningependa kukukumbusha kuwa umesahau kuwaongeza wale ambao ''specialisation,'' yao ni Julius Nyerere peke yake.

Nakuomba uwaongeze hawa katika orodha yako kwani hawa wamebobea kwa miaka mingi katika kazi hii iliyowaondosha wazalendo wengi katika historia ya TANU na uhuru wa Tanganyika wakabakia na Nyerere peke yake.

Hawa hawaruhusu mzalendo yeyote atajwe katika historia ya TANU na uhuru wa Tanganyika.

Lakini mimi sikuspecialise kwa Sykes peke yake.

Nimewarejesha katika historia wazalendo wengi wakawa ''speciality'' zangu : Chief David Kidaha Makwaia, Dr. Vedasto Kyaruzi, Dr. Michael Lugazia, Dr. Luciano Tsere, Dr. Joseph Mutahangarwa, Dr. Wilbard Mwanjisi, Japhet Kirilo, Dome Okochi Budohi, Denis Phombeah, Zuberi Mtemvu, Mshume Kiyate, Joseph Kimalando, Sheikh Suleiman Takadir, Sheikh Mohamed Yusuf Badi, Sheikh Abdallah Rashid Sembe, Hamisi Kheri, Sheikh Said Chaurembo, Mshume Kiyate, Sheikh Mohamed Ramiyya, Iddi Faiz Mafungo, Iddi Tosiri, Amina Kinabo, Hawa bint Maftah, Nyange bint Chande, Mama Bint Mwalimu, Halima Selengia, Zarula bint Abdulrahman, Chiku bint Said Kisusa Abdulrahman wengi, wengi, wengi sana.

Wake kwa waume nimeandika historia zao katika kupigania uhuru wa Tanganyika.
Sikumwandika Abdulwahid Kleist Sykes peke yake.

Kitabu chake kipo sasa tunakwenda chapa ya tano na hapa JF tunakijadili kitabu sasa takriban miaka 10.

View attachment 2186656

View attachment 2186658
Kwa hio mkuu huu Uzi umeupitia na ukaona harakati za bwn Howard na mambo yake ya mikasi?Tupe tathimini yako khs bwn Howard mkuu.
 
Dira...
Nigependa kueleza kidogo kuhusu kuwa mimi nimespecialise chembelecho ''ishu'' ya familia ya Sykes na Uislam.

Tuanze na ukoo wa Sykes.

Waandishi wa historia ya Tanganyika walitishwa na vitu vitu viwili navyo ni Sykes kutawala harakati za Waafrika katika kupigania haki za Waafrika kuanzia mwaka wa 1929 hadi ulipopatikana uhuru 1961.

Mwaka wa 1929 historia hii inaanza na baba, Kleist Sykes hadi alipofariki 1949.
1950 hadi 1961 harakati hizi zinapokelewa na wanae Abdul, Ally na Abbas.

Ukoo huu ulikuwa na ushawishi mkubwa katika AA, TAA na TANU na pia katika Al Jamiatul Islamiyya fi Tanganyika chama alichoanzisha baba yao 1933 pamoja na wenzake kama Ali Jumbe Kiro na Mzee bin Sudi kwa kuwataja wachache.

Hii Al Jamiatul Islamiyya fi Tanganyika ilianzishwa na viongozi wale wale ambao walikuwa wanaongoza AA katika miaka hiyo.

Hii ndiyo sababu huwezi kuuondoa Uislam katika harakati za kuunda TANU na kupigania uhuru wa Tanganyika.

Hiki ndicho chanzo cha tatizo linalotaabisha wengi wenu.

Mnataka kuifuta historia hii na mumpachike Julius Nyerere awe ndiye muasisi wa TANU na kuwa kapigania uhuru wa Tanganyika peke yake akiwa hana ofisi, hana watu wala hana fedha.

Kafika Dar es Salaam kafungua ofisi kajulikana na watu na wa watu wakamuunga mkono na akawa anajaza watu katika mikutano ya TANU Mnazi Mmoja bila ya msaada wa mtu yeyote.

Mimi nimesahihisha haya kwa kuzipitia Nyaraka za Sykes na nyaraka hizi zikanipa historia yote kama ilivyokuwa.

Ikiwa kuandika haya kwako ni ''specialisation'' ya Sykes ningependa kukukumbusha kuwa umesahau kuwaongeza wale ambao ''specialisation,'' yao ni Julius Nyerere peke yake.

Nakuomba uwaongeze hawa katika orodha yako kwani hawa wamebobea kwa miaka mingi katika kazi hii iliyowaondosha wazalendo wengi katika historia ya TANU na uhuru wa Tanganyika wakabakia na Nyerere peke yake.

Hawa hawaruhusu mzalendo yeyote atajwe katika historia ya TANU na uhuru wa Tanganyika.

Lakini mimi sikuspecialise kwa Sykes peke yake.

Nimewarejesha katika historia wazalendo wengi wakawa ''speciality'' zangu : Chief David Kidaha Makwaia, Dr. Vedasto Kyaruzi, Dr. Michael Lugazia, Dr. Luciano Tsere, Dr. Joseph Mutahangarwa, Dr. Wilbard Mwanjisi, Japhet Kirilo, Dome Okochi Budohi, Denis Phombeah, Zuberi Mtemvu, Mshume Kiyate, Joseph Kimalando, Sheikh Suleiman Takadir, Sheikh Mohamed Yusuf Badi, Sheikh Abdallah Rashid Sembe, Hamisi Kheri, Sheikh Said Chaurembo, Mshume Kiyate, Sheikh Mohamed Ramiyya, Iddi Faiz Mafungo, Iddi Tosiri, Amina Kinabo, Hawa bint Maftah, Nyange bint Chande, Mama Bint Mwalimu, Halima Selengia, Zarula bint Abdulrahman, Chiku bint Said Kisusa Abdulrahman wengi, wengi, wengi sana.

Wake kwa waume nimeandika historia zao katika kupigania uhuru wa Tanganyika.
Sikumwandika Abdulwahid Kleist Sykes peke yake.

Kitabu chake kipo sasa tunakwenda chapa ya tano na hapa JF tunakijadili kitabu sasa takriban miaka 10.

View attachment 2186656

View attachment 2186658
Mzee huwa wanasema "too much is harmful".. karibu kila uzi au comment lazima jina Sykes liwepo.
 
Mzee huwa wanasema "too much is harmful".. karibu kila uzi au comment lazima jina Sykes liwepo.
Dira...
Umesema kweli.

Huwezi kuieleza historia ya uhuru wa Tanganyika na TANU bila kuwataja akina Sykes.
Uzi wowote hapa niandikao lazima Sykes utawakuta.

Wapo waliodhani wanaweza wakawafuta katika historia ya Tanganyika na historia ikakaa sawa.
Matokeo yake ndiyo haya unaniuliza mbona hawa watu unawataja sana?

Jana kuna mtu kaniletea makala ameandika kuhusu Miaka 100 ya Julius Nyerere.
Baada ya kusoma nikamuuliza maswali kuwa mbona unasema ''rafiki zake Nyerere?''

Huwajui majina yao?

Hapa alikuwa anaeleza kuwa Nyerere baada ya kushauriana na rafiki zake akaamua kuacha kazi ya ualimu na kuwa mtumishi wa TANU.

Nikamwambia huyo aliyeshauriananae ni Abdul Sykes.
Nikamuuliza kwa nini hukuandika baada ya kushauriana na Abdul Sykes?

Sasa sijui kama na yeye kama wewe aliona kutaja jina la Sykes ni ''harmful'' lakini kutaja jina la Nyerere katika historia nzima ya uhuru ni sawa.

Sasa wewe kwa miaka mingi sana umezoea kusoma kuwa Nyerere alifanya yote haya peke yake.
Kaja Dar es Salaam hana ofisi lakini akaasisi TANU na akawa na ofisi, analipa umeme, maji nk.

Akajuana na ''wazee'' ambao hawa majina, akapata wanachama, akaacha kazi ya ualimu akawa anakaa mahali fulani hapajulikani wapi nk. nk.

Mimi nitakueleza kuwa Dar es Salaam alipokelewa na Abdul Sykes na alipoacha kazi alikwenda kuishi nyumbani kwa Abdul Sykes.

Unashangaa.
Unajiuliza mbona kila saa anatajwa Sykes?

Sasa usipomtaja Sykes historia ya TANU itakuwaje ilhali harakati hizi kazianza baba yake na yeye kashiriki katika uongozi wa TAA kuanzia 1950 baada ya kifo cha baba yake 1949?

Sasa angalia maajabu haya.

Kleist Sykes kabla ya kifo chake aliandika maisha yake na ndani ya mswada huu kaeleza vipi akiwa kijana wa miaka 25 aliasisi African Association yeye na rafiki zake: Mzee bin Sudi, Ibrahim Hamis, Zibe Kidasi, Ali Said Mpima, Suleiman Majisu, Raikes Kusi, Rawson Watts na Cecil Matola.

Katika majina hayo baadhi yao mimi ni babu zangu.

Mtafiti yeyote atakae kuandika historia ya TANU inabidi aanze na watu hawa katika mwaka wa 1929.

Sykes wametuachia nini katika neno lilioandikwa kuhusu harakati za kudai uhuru?

Sykes wamahifadhi nyaraka na picha nyingi za nyakati hizo pamoja na historia ya Julius Nyerere toka siku alipowafikia kwao hadi uhuru ulipopatikana.

Mimi nimesoma hili gunia zima la nyaraka ndiyo maana nikisoma kitu kimepotoshwa nawaleta Sykes kueleza ukweli ulivyokuwa.

Lakini bahati mbaya kwako jina hili kuwako katika historia ya Tanganyika ni ''harmful'' maana ni ''too much of anything.''

Lakini historia yote ya uhuru wa Tanganyika toka 1961 anatajwa Nyerere peke yake.
Lakini wewe hukulalamika kuwa ni ''harmful.''

Baada ya uhuru kupatikana 1961 ikiwa nitaandika chochote baada ya hapo hutamsoma Sykes.

Hapo ndipo mwisho wa historia yao katika siasa wakabakia na biashara zao.

Hiyo picha hapo chini iliipigwa mwaka wa 1933 siku ya ufunguzi wa ofisi ya African Association, New Street.

Hii picha ni kwa hisani ya Sykes na ipo katika kitabu, The Life and Times of Abdulwahid Sykes 1924 –1968 The Untold Story of the Muslim Struggle against British Colonialism in Tanganyika, Minerva Press London, 1998 tafsiri ya Kiswahili as Maisha na Nyakati za Abdulwahid Sykes 1924-1968 Historia Iliyofichwa Kuhusu Harakati za Waislam Dhidi ya Ukoloni wa Waingereza, Phoenix Publishers, Nairobi, 2002.

1649910503516.png


Hapo ilipopigwa picha hii leo limesimama jengo zuri la kupendeza la Ofisi Ndogo ya CCM hilo hapo chini:

1649910999424.png


Sasa kwa kuhitimisha tujaribu kwa uchunguzu tu kuifuta historia hii yote tubakie na historia ya Nyerere peke yake kama ilivyokuwa kabla sijamwandika Sykes.

Nifahamishe tutakuwa na historia gani?
 
Huyu dingi anaweza kukwambia Howard aliunganishwa na Robin quivers kupitia Sykes pale Kkoo.. 😄😄
Dira...
Nilidhani kuwa unataka tufanye mjadala wa kuheshimiana.
Mimi mjadala huu uliokujanao hapa wa kunikejeli huwa sijibu.

Hapa tulipofika panatosha.
 
Back
Top Bottom