Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aliishi nci ganiJe, umewahi kusikia kuhusu Unju Ibn Unuq?
Kiumbe huyu wa ajabu ameshikilia rekodi zisizovunjika kwa maelfu ya miaka!
Wengine wanasema alikuwa na kasi kuliko mwanga, wengine wanadai kivuli chake kilikuwa na hofu ya kumfuata!
Je, maajabu haya yana ukweli wowote, au ni hadithi tu za kale?
Karibu ujionee vituko 33 vya Ibn Unuq ambavyo vitakufanya uamini – au ushindwe kuamini!
Maajabu ya Ibn Anaq
• Ibn Anaq aliwahi kuikimbiza radi mpaka ikachoka na kuomba mapumziko.
• Aliwahi kupiga chafya, upepo ukabadilika mwelekeo ghafla.
• Alijaribu kuvuta pumzi kwa nguvu, ghafla bahari ikarudi nyuma kwa sekunde kadhaa.
• Aliwahi kushiriki mbio za mita 100, lakini akafika mwisho kabla ya filimbi kupigwa.
• Aliwahi kupiga makofi kwa nguvu hadi nyuki wakaanza kushangilia.
• Siku moja aligombana na kivuli chake kwa sababu kilikuwa kinamwiga bila ruhusa.
• Alijaribu kujificha nyuma ya sindano, na watu hawakumuona.
• Aliwahi kupiga hatua moja, akaonekana na watu wa nchi jirani.
• Alijaribu kulamba barafu, barafu ikajikunyata kwa woga.
• Aliingia kwenye msitu, miti yote ikasogea kumpisha njia.
• Alikula pilipili, jua likakohoa.
• Alivua viatu, ardhi ikamwomba avirudishe.
• Aliwahi kupiga filimbi, upepo ukageuka kuwa wimbo.
• Aliwahi kusimama juu ya maji, samaki wakafikiria ni kisiwa kipya.
• Alijaribu kupiga miayo, anga likageuka usiku ghafla.
• Alitema mate ardhini, yakakua na kuwa mto mkubwa.
• Aliwahi kuchapa kofi hewa, upepo ukabadilisha muelekeo ghafla.
• Alienda kwenye sherehe ya kimya kimya, lakini bado kelele za vishindo vyake zilisikika.
• Aliingia kwenye jumba la vioo, vioo vikaanza kujiangalia kwenye mwili wake jinsi vilivyo huku vijitafakari vyenyewe.
• Aliwahi kusema neno moja, likawa sheria katika nchi moja isiyojulikana.
• Aliwahi kupiga makofi hadi kengele ya shule ikajipiga yenyewe.
• Alikata nywele zake, lakini bado zilibakia zimeganda kwenye kichwa chake.
• Aliwahi kufungua mlango kwa kuwaza tu na mlango ukajifungua peke yake kabla hata hajafikiria vizuri.
• Aliandika barua ya upepo na upepo ukamtii ukaamua kuipeleka kwa mhusika.
• Aliangalia filamu ya kutisha sana ila ajabu sinema yenyewe ikaanza kumuogopa na kutetemeka baada ya kumuona.
• Aliwahi kupiga makofi kwenye giza, mwanga ukatokea kwa mshangao.
• Aliwahi kufikiri jambo, likatokea kabla hata hajaliwaza vizuri.
• Alijaribu kuhesabu nyota, lakini nyota zikamsubiri amalize hesabu kwanza.
• Aliwahi kuzungumza na ukuta, ukuta ukamuitikia kwa sauti laini.
• Aliwahi kushusha pumzi, anga likajawa na wingu la mvua ghafla.
• Alipiga chafya mchana, usiku ukaingia mapema.
• Aliwahi kupiga kofi kivuli chake, kivuli kikapelekwa ICU.
• Alijaribu kuhesabu mchanga wa baharini, lakini bahari ikaamua kumpa hesabu yenyewe kama yenyewe ili iepushe kumsumbua.
Ibn Unuq hakika ni kiumbe wa ajabu!
Hii ni kweli sio zile hadithi za kufikirika.
😅😅😅
Monetary doctor blood ✊🏿👊🏾👍🏾.
Qashy Lilith umenitupa 💕🙌.
TumepigwaJe, umewahi kusikia kuhusu Unju Ibn Unuq?
Kiumbe huyu wa ajabu ameshikilia rekodi zisizovunjika kwa maelfu ya miaka!
Wengine wanasema alikuwa na kasi kuliko mwanga, wengine wanadai kivuli chake kilikuwa na hofu ya kumfuata!
Je, maajabu haya yana ukweli wowote, au ni hadithi tu za kale?
Karibu ujionee vituko 33 vya Ibn Unuq ambavyo vitakufanya uamini – au ushindwe kuamini!
Maajabu ya Ibn Anaq
• Ibn Anaq aliwahi kuikimbiza radi mpaka ikachoka na kuomba mapumziko.
• Aliwahi kupiga chafya, upepo ukabadilika mwelekeo ghafla.
• Alijaribu kuvuta pumzi kwa nguvu, ghafla bahari ikarudi nyuma kwa sekunde kadhaa.
• Aliwahi kushiriki mbio za mita 100, lakini akafika mwisho kabla ya filimbi kupigwa.
• Aliwahi kupiga makofi kwa nguvu hadi nyuki wakaanza kushangilia.
• Siku moja aligombana na kivuli chake kwa sababu kilikuwa kinamwiga bila ruhusa.
• Alijaribu kujificha nyuma ya sindano, na watu hawakumuona.
• Aliwahi kupiga hatua moja, akaonekana na watu wa nchi jirani.
• Alijaribu kulamba barafu, barafu ikajikunyata kwa woga.
• Aliingia kwenye msitu, miti yote ikasogea kumpisha njia.
• Alikula pilipili, jua likakohoa.
• Alivua viatu, ardhi ikamwomba avirudishe.
• Aliwahi kupiga filimbi, upepo ukageuka kuwa wimbo.
• Aliwahi kusimama juu ya maji, samaki wakafikiria ni kisiwa kipya.
• Alijaribu kupiga miayo, anga likageuka usiku ghafla.
• Alitema mate ardhini, yakakua na kuwa mto mkubwa.
• Aliwahi kuchapa kofi hewa, upepo ukabadilisha muelekeo ghafla.
• Alienda kwenye sherehe ya kimya kimya, lakini bado kelele za vishindo vyake zilisikika.
• Aliingia kwenye jumba la vioo, vioo vikaanza kujiangalia kwenye mwili wake jinsi vilivyo huku vijitafakari vyenyewe.
• Aliwahi kusema neno moja, likawa sheria katika nchi moja isiyojulikana.
• Aliwahi kupiga makofi hadi kengele ya shule ikajipiga yenyewe.
• Alikata nywele zake, lakini bado zilibakia zimeganda kwenye kichwa chake.
• Aliwahi kufungua mlango kwa kuwaza tu na mlango ukajifungua peke yake kabla hata hajafikiria vizuri.
• Aliandika barua ya upepo na upepo ukamtii ukaamua kuipeleka kwa mhusika.
• Aliangalia filamu ya kutisha sana ila ajabu sinema yenyewe ikaanza kumuogopa na kutetemeka baada ya kumuona.
• Aliwahi kupiga makofi kwenye giza, mwanga ukatokea kwa mshangao.
• Aliwahi kufikiri jambo, likatokea kabla hata hajaliwaza vizuri.
• Alijaribu kuhesabu nyota, lakini nyota zikamsubiri amalize hesabu kwanza.
• Aliwahi kuzungumza na ukuta, ukuta ukamuitikia kwa sauti laini.
• Aliwahi kushusha pumzi, anga likajawa na wingu la mvua ghafla.
• Alipiga chafya mchana, usiku ukaingia mapema.
• Aliwahi kupiga kofi kivuli chake, kivuli kikapelekwa ICU.
• Alijaribu kuhesabu mchanga wa baharini, lakini bahari ikaamua kumpa hesabu yenyewe kama yenyewe ili iepushe kumsumbua.
Ibn Unuq hakika ni kiumbe wa ajabu!
Hii ni kweli sio zile hadithi za kufikirika.
😅😅😅
Monetary doctor blood ✊🏿👊🏾👍🏾.
Qashy Lilith umenitupa 💕🙌.
Hizi ni hadithi za mudi boy nini😁😁😁Je, umewahi kusikia kuhusu Unju Ibn Unuq?
Kiumbe huyu wa ajabu ameshikilia rekodi zisizovunjika kwa maelfu ya miaka!
Wengine wanasema alikuwa na kasi kuliko mwanga, wengine wanadai kivuli chake kilikuwa na hofu ya kumfuata!
Je, maajabu haya yana ukweli wowote, au ni hadithi tu za kale?
Karibu ujionee vituko 33 vya Ibn Unuq ambavyo vitakufanya uamini – au ushindwe kuamini!
Maajabu ya Ibn Anaq
• Ibn Anaq aliwahi kuikimbiza radi mpaka ikachoka na kuomba mapumziko.
• Aliwahi kupiga chafya, upepo ukabadilika mwelekeo ghafla.
• Alijaribu kuvuta pumzi kwa nguvu, ghafla bahari ikarudi nyuma kwa sekunde kadhaa.
• Aliwahi kushiriki mbio za mita 100, lakini akafika mwisho kabla ya filimbi kupigwa.
• Aliwahi kupiga makofi kwa nguvu hadi nyuki wakaanza kushangilia.
• Siku moja aligombana na kivuli chake kwa sababu kilikuwa kinamwiga bila ruhusa.
• Alijaribu kujificha nyuma ya sindano, na watu hawakumuona.
• Aliwahi kupiga hatua moja, akaonekana na watu wa nchi jirani.
• Alijaribu kulamba barafu, barafu ikajikunyata kwa woga.
• Aliingia kwenye msitu, miti yote ikasogea kumpisha njia.
• Alikula pilipili, jua likakohoa.
• Alivua viatu, ardhi ikamwomba avirudishe.
• Aliwahi kupiga filimbi, upepo ukageuka kuwa wimbo.
• Aliwahi kusimama juu ya maji, samaki wakafikiria ni kisiwa kipya.
• Alijaribu kupiga miayo, anga likageuka usiku ghafla.
• Alitema mate ardhini, yakakua na kuwa mto mkubwa.
• Aliwahi kuchapa kofi hewa, upepo ukabadilisha muelekeo ghafla.
• Alienda kwenye sherehe ya kimya kimya, lakini bado kelele za vishindo vyake zilisikika.
• Aliingia kwenye jumba la vioo, vioo vikaanza kujiangalia kwenye mwili wake jinsi vilivyo huku vijitafakari vyenyewe.
• Aliwahi kusema neno moja, likawa sheria katika nchi moja isiyojulikana.
• Aliwahi kupiga makofi hadi kengele ya shule ikajipiga yenyewe.
• Alikata nywele zake, lakini bado zilibakia zimeganda kwenye kichwa chake.
• Aliwahi kufungua mlango kwa kuwaza tu na mlango ukajifungua peke yake kabla hata hajafikiria vizuri.
• Aliandika barua ya upepo na upepo ukamtii ukaamua kuipeleka kwa mhusika.
• Aliangalia filamu ya kutisha sana ila ajabu sinema yenyewe ikaanza kumuogopa na kutetemeka baada ya kumuona.
• Aliwahi kupiga makofi kwenye giza, mwanga ukatokea kwa mshangao.
• Aliwahi kufikiri jambo, likatokea kabla hata hajaliwaza vizuri.
• Alijaribu kuhesabu nyota, lakini nyota zikamsubiri amalize hesabu kwanza.
• Aliwahi kuzungumza na ukuta, ukuta ukamuitikia kwa sauti laini.
• Aliwahi kushusha pumzi, anga likajawa na wingu la mvua ghafla.
• Alipiga chafya mchana, usiku ukaingia mapema.
• Aliwahi kupiga kofi kivuli chake, kivuli kikapelekwa ICU.
• Alijaribu kuhesabu mchanga wa baharini, lakini bahari ikaamua kumpa hesabu yenyewe kama yenyewe ili iepushe kumsumbua.
Ibn Unuq hakika ni kiumbe wa ajabu!
Hii ni kweli sio zile hadithi za kufikirika.
😅😅😅
Monetary doctor blood ✊🏿👊🏾👍🏾.
Qashy Lilith umenitupa 💕🙌.
It's Chit chat.
Aliwahi kuchukua samaki kutoka baharini na kuwachoma kwenye jua kisha akalaJe, umewahi kusikia kuhusu Unju Ibn Unuq?
Kiumbe huyu wa ajabu ameshikilia rekodi zisizovunjika kwa maelfu ya miaka!
Wengine wanasema alikuwa na kasi kuliko mwanga, wengine wanadai kivuli chake kilikuwa na hofu ya kumfuata!
Je, maajabu haya yana ukweli wowote, au ni hadithi tu za kale?
Karibu ujionee vituko 33 vya Ibn Unuq ambavyo vitakufanya uamini – au ushindwe kuamini!
Maajabu ya Ibn Anaq
• Ibn Anaq aliwahi kuikimbiza radi mpaka ikachoka na kuomba mapumziko.
• Aliwahi kupiga chafya, upepo ukabadilika mwelekeo ghafla.
• Alijaribu kuvuta pumzi kwa nguvu, ghafla bahari ikarudi nyuma kwa sekunde kadhaa.
• Aliwahi kushiriki mbio za mita 100, lakini akafika mwisho kabla ya filimbi kupigwa.
• Aliwahi kupiga makofi kwa nguvu hadi nyuki wakaanza kushangilia.
• Siku moja aligombana na kivuli chake kwa sababu kilikuwa kinamwiga bila ruhusa.
• Alijaribu kujificha nyuma ya sindano, na watu hawakumuona.
• Aliwahi kupiga hatua moja, akaonekana na watu wa nchi jirani.
• Alijaribu kulamba barafu, barafu ikajikunyata kwa woga.
• Aliingia kwenye msitu, miti yote ikasogea kumpisha njia.
• Alikula pilipili, jua likakohoa.
• Alivua viatu, ardhi ikamwomba avirudishe.
• Aliwahi kupiga filimbi, upepo ukageuka kuwa wimbo.
• Aliwahi kusimama juu ya maji, samaki wakafikiria ni kisiwa kipya.
• Alijaribu kupiga miayo, anga likageuka usiku ghafla.
• Alitema mate ardhini, yakakua na kuwa mto mkubwa.
• Aliwahi kuchapa kofi hewa, upepo ukabadilisha muelekeo ghafla.
• Alienda kwenye sherehe ya kimya kimya, lakini bado kelele za vishindo vyake zilisikika.
• Aliingia kwenye jumba la vioo, vioo vikaanza kujiangalia kwenye mwili wake jinsi vilivyo huku vijitafakari vyenyewe.
• Aliwahi kusema neno moja, likawa sheria katika nchi moja isiyojulikana.
• Aliwahi kupiga makofi hadi kengele ya shule ikajipiga yenyewe.
• Alikata nywele zake, lakini bado zilibakia zimeganda kwenye kichwa chake.
• Aliwahi kufungua mlango kwa kuwaza tu na mlango ukajifungua peke yake kabla hata hajafikiria vizuri.
• Aliandika barua ya upepo na upepo ukamtii ukaamua kuipeleka kwa mhusika.
• Aliangalia filamu ya kutisha sana ila ajabu sinema yenyewe ikaanza kumuogopa na kutetemeka baada ya kumuona.
• Aliwahi kupiga makofi kwenye giza, mwanga ukatokea kwa mshangao.
• Aliwahi kufikiri jambo, likatokea kabla hata hajaliwaza vizuri.
• Alijaribu kuhesabu nyota, lakini nyota zikamsubiri amalize hesabu kwanza.
• Aliwahi kuzungumza na ukuta, ukuta ukamuitikia kwa sauti laini.
• Aliwahi kushusha pumzi, anga likajawa na wingu la mvua ghafla.
• Alipiga chafya mchana, usiku ukaingia mapema.
• Aliwahi kupiga kofi kivuli chake, kivuli kikapelekwa ICU.
• Alijaribu kuhesabu mchanga wa baharini, lakini bahari ikaamua kumpa hesabu yenyewe kama yenyewe ili iepushe kumsumbua.
Ibn Unuq hakika ni kiumbe wa ajabu!
Hii ni kweli sio zile hadithi za kufikirika.
😅😅😅
Monetary doctor blood ✊🏿👊🏾👍🏾.
Qashy Lilith umenitupa 💕🙌.
It's Chit chat.
Acheni ujinga.Je, umewahi kusikia kuhusu Unju Ibn Unuq?
Kiumbe huyu wa ajabu ameshikilia rekodi zisizovunjika kwa maelfu ya miaka!
Wengine wanasema alikuwa na kasi kuliko mwanga, wengine wanadai kivuli chake kilikuwa na hofu ya kumfuata!
Je, maajabu haya yana ukweli wowote, au ni hadithi tu za kale?
Karibu ujionee vituko 33 vya Ibn Unuq ambavyo vitakufanya uamini – au ushindwe kuamini!
Maajabu ya Ibn Anaq
• Ibn Anaq aliwahi kuikimbiza radi mpaka ikachoka na kuomba mapumziko.
• Aliwahi kupiga chafya, upepo ukabadilika mwelekeo ghafla.
• Alijaribu kuvuta pumzi kwa nguvu, ghafla bahari ikarudi nyuma kwa sekunde kadhaa.
• Aliwahi kushiriki mbio za mita 100, lakini akafika mwisho kabla ya filimbi kupigwa.
• Aliwahi kupiga makofi kwa nguvu hadi nyuki wakaanza kushangilia.
• Siku moja aligombana na kivuli chake kwa sababu kilikuwa kinamwiga bila ruhusa.
• Alijaribu kujificha nyuma ya sindano, na watu hawakumuona.
• Aliwahi kupiga hatua moja, akaonekana na watu wa nchi jirani.
• Alijaribu kulamba barafu, barafu ikajikunyata kwa woga.
• Aliingia kwenye msitu, miti yote ikasogea kumpisha njia.
• Alikula pilipili, jua likakohoa.
• Alivua viatu, ardhi ikamwomba avirudishe.
• Aliwahi kupiga filimbi, upepo ukageuka kuwa wimbo.
• Aliwahi kusimama juu ya maji, samaki wakafikiria ni kisiwa kipya.
• Alijaribu kupiga miayo, anga likageuka usiku ghafla.
• Alitema mate ardhini, yakakua na kuwa mto mkubwa.
• Aliwahi kuchapa kofi hewa, upepo ukabadilisha muelekeo ghafla.
• Alienda kwenye sherehe ya kimya kimya, lakini bado kelele za vishindo vyake zilisikika.
• Aliingia kwenye jumba la vioo, vioo vikaanza kujiangalia kwenye mwili wake jinsi vilivyo huku vijitafakari vyenyewe.
• Aliwahi kusema neno moja, likawa sheria katika nchi moja isiyojulikana.
• Aliwahi kupiga makofi hadi kengele ya shule ikajipiga yenyewe.
• Alikata nywele zake, lakini bado zilibakia zimeganda kwenye kichwa chake.
• Aliwahi kufungua mlango kwa kuwaza tu na mlango ukajifungua peke yake kabla hata hajafikiria vizuri.
• Aliandika barua ya upepo na upepo ukamtii ukaamua kuipeleka kwa mhusika.
• Aliangalia filamu ya kutisha sana ila ajabu sinema yenyewe ikaanza kumuogopa na kutetemeka baada ya kumuona.
• Aliwahi kupiga makofi kwenye giza, mwanga ukatokea kwa mshangao.
• Aliwahi kufikiri jambo, likatokea kabla hata hajaliwaza vizuri.
• Alijaribu kuhesabu nyota, lakini nyota zikamsubiri amalize hesabu kwanza.
• Aliwahi kuzungumza na ukuta, ukuta ukamuitikia kwa sauti laini.
• Aliwahi kushusha pumzi, anga likajawa na wingu la mvua ghafla.
• Alipiga chafya mchana, usiku ukaingia mapema.
• Aliwahi kupiga kofi kivuli chake, kivuli kikapelekwa ICU.
• Alijaribu kuhesabu mchanga wa baharini, lakini bahari ikaamua kumpa hesabu yenyewe kama yenyewe ili iepushe kumsumbua.
Ibn Unuq hakika ni kiumbe wa ajabu!
Hii ni kweli sio zile hadithi za kufikirika.
😅😅😅
Monetary doctor blood ✊🏿👊🏾👍🏾.
Qashy Lilith umenitupa 💕🙌.
It's Chit chat.