Mfahamu Ibn Unuq: Kiumbe Aliyewahi Kuikimbiza Radi na Maajabu Yake 33 ya Kushangaza!

Mfahamu Ibn Unuq: Kiumbe Aliyewahi Kuikimbiza Radi na Maajabu Yake 33 ya Kushangaza!

Hii ni uongo aisee live live ni kama ya mbasa tu ati anasema nipulize Kuna kadudu kameningilia jichoni harafu eti anatoka mende 😃
 
Acheni ujinga.
Huku ni Chit chat mkuu.

Kila siku nyuzi za chambuzi za Mbowe na Lissu, Mara Goma na Waasi wa M23, Ukienda kimataifa unakutana na nyuzi za Trump na vikwazo vyake huko USAID.

Ukigeuka huku Jamii Intelligency unakutana na mabishano ya kuthibitisha kama Mungu yupo unakutana na Malogical fallacy mara Ignostics.

Siku moja moja tunarefresh Minds mkuu 😆
 
Aisee ujinga mwingi sana hata ukimwambia mtoto wa miaka mitatu anakudharau
 
Huku ni Chit chat mkuu.

Kila siku nyuzi za chambuzi za Mbowe na Lissu, Mara Goma na Waasi wa M23, Ukienda kimataifa unakutana na nyuzi za Trump na vikwazo vyake huko USAID.

Ukigeuka huku Jamii Intelligency unakutana na mabishano ya kuthibitisha kama Mungu yupo unakutana na Malogical fallacy mara Ignostics.

Siku moja moja tunarefresh Minds mkuu 😆
Kwa jiyo umekubali huu ni ujinga ila umeamua tu kuwa mjinga kwa makusudi tu?
 
Aisee ujinga mwingi sana hata ukimwambia mtoto wa miaka mitatu anakudharau
Mkuu yaani umeingia Chitchat and Jokes halafu unatarajia kukutana na uchambuzi wa M23 na Goma au Logical fallacies 😆😆🙌
 
Kwa jiyo umekubali huu ni ujinga ila umeamua tu kuwa mjinga kwa makusudi tu?
Nimefanya hii kwa akili yangu mkuu, nikiwa Timamu kichwani.

Nipe maoni yako, wewe ulitaka nifanye nini?
 
Mimi nitake wewe ufanye nini ili iweje?
Hiki nilichoandika ni Ujinga kwako wewe, kwa wengine ni utani kama jukwaa lenyewe linavyoitwa Chitchats and Jokes.
 
Hiki nilichoandika ni Ujinga kwako wewe, kwa wengine ni utani kama jukwaa lenyewe linavyoitwa Chitchats and Jokes.
Hili umeshaniambia, na mini sijakubishia. Sijui kwa nini unarudia.
 
Back
Top Bottom