Mfahamu Jamil Hassan almaarufu mchinjaji, mshirika wa karibu wa Asad, Kionikosi cha kutesa na kuua wapinzani, alikimbia na hajulikani alipo hadi sasa

Uzalendo wa Kitanzania

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2020
Posts
3,585
Reaction score
8,106
Moderator saidia kurekebisha kichwa cha habari tafadhali

Wadau hamjamboni nyote?

Jamil Hassan almaarufu the butcher au mchinjaji

Aliongoza kikosi maalumu Air Force Intelligence kikihusika na utekaji, utesaji, mauaji ya watu mbalimbali waliohesabika kuhatarisha utawala wa Asad

Alikuwa mtu wa karibu sana na Asad huku akiogopwa mno na raia wa Syria

Anatafutwa na nchi kadhaa ikiwemo Marekani, ufaransa na ujerumani

Baada ya Asad kupinduliwa alipotea na hajulikani alipo hadi leo
 

Attachments

  • Jamil-Hassan.jpg
    34.3 KB · Views: 5
  • jamil-hassan-germany-syria.jpg
    192.9 KB · Views: 3
Utakuta anasema anasingiziwa yeye ni mtu mwema sana.
 
Duh! Kwa hiyo Jabil ndiye alikuwa Bashite wa Syria?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…