Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
Moderator saidia kurekebisha kichwa cha habari tafadhali
Wadau hamjamboni nyote?
Jamil Hassan almaarufu the butcher au mchinjaji
Aliongoza kikosi maalumu Air Force Intelligence kikihusika na utekaji, utesaji, mauaji ya watu mbalimbali waliohesabika kuhatarisha utawala wa Asad
Alikuwa mtu wa karibu sana na Asad huku akiogopwa mno na raia wa Syria
Anatafutwa na nchi kadhaa ikiwemo Marekani, ufaransa na ujerumani
Baada ya Asad kupinduliwa alipotea na hajulikani alipo hadi leo
Wadau hamjamboni nyote?
Jamil Hassan almaarufu the butcher au mchinjaji
Aliongoza kikosi maalumu Air Force Intelligence kikihusika na utekaji, utesaji, mauaji ya watu mbalimbali waliohesabika kuhatarisha utawala wa Asad
Alikuwa mtu wa karibu sana na Asad huku akiogopwa mno na raia wa Syria
Anatafutwa na nchi kadhaa ikiwemo Marekani, ufaransa na ujerumani
Baada ya Asad kupinduliwa alipotea na hajulikani alipo hadi leo