Mfahamu Jokate Mwegelo (Kidoti); Kuzaliwa Marekani, Urembo, kipanga darasani, Mapenzi, Siasa

Najua mtatupiga ban , Ila tunajua Sana dark side ya huyo Acha Tu tukae kimya , wahuni wamefukua Sana pale , front and back , anyway maisha ni mzunguko
Nakubaliana nawe. Kama ni mali hivyo mbona hajaolewa?
 
Kama Mwamba Mandonga hujamuweka hii stori inabaki Kama mchongo tu
 
Kaka umetisha sana,umechambua vizuri.
unampa sifa ambazo hastahili, amefanya kosa la plagiarism.

hii article kai-copy kwenye app ya mange kimambi, iliandikwa wiki kadhaa zilizopita. mwandishi ni ndg. Habibu Anga, hapa JF anafahamika kwa ID maarufu ya The bold.

pongezi zote ziende kwa original author Habibu Anga "The Bold".
 
😍 😍 😍 😍 😍 😍 😍 spot on mwanangu
 
Jina la wimbo tafadhali
 
Baada ya kafulila kuzungumziwa mitandaoni kiti chake kikawa baibai.

Napata mashaka huwenda akapewa likizo ndefu ya uzazi kwa kiti chake kupewa mwingine. 👿😈👿😈
 
Hujamalizia zuri la sasa kuwa ni mama kijacho. Mi kama jirani najipanga kupeleka WISHES za baby boy. Naweka namba zangu hapa za mawasiliano anipigie 255655274...004
 
Kwenye essay yako mbona hujamtaja Alikiba, magufuli na fred vunja bei
 
Wataalamu wa elimu ya bahati kwa tafiti zao wanadai watu wenye vidoti huwa na mafanikio au kuwa watu wakubwa kwenye Jamii. Yaani wanakuwa na bahati tayari wamezaliwa nayo
 
Kwann umuhukumu mtu ambae bado ajafika mwisho wa safarii kuolewa Hakuna umri.
 
Ina maana hao wanaume wote walioorodheshwa kuwa wamewahi kuwa naye ktk mahusiano walimgegeda?

Kama jibu ni ndio basi itakuwa huyu dada ni mdhaifu sana na anaweza danganywa hata na mume wa mtu akadanganyika na kuliwa kimasihara japo ni DC.

Akemee hilo pepo la udhaifu.
 
Sivii kubwaaa haina faida kwake kama hana hata mtoto mmoja ni bure tuu
 
Wataalamu wa elimu ya bahati kwa tafiti zao wanadai watu wenye vidoti huwa na mafanikio au kuwa watu wakubwa kwenye Jamii. Yaani wanakuwa na bahati tayari wamezaliwa nayo
Duh thanks, namimi nna kakidoti kadogoo chini ya jicho, maybe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…