Mfahamu Jokate Mwegelo (Kidoti); Kuzaliwa Marekani, Urembo, kipanga darasani, Mapenzi, Siasa

Kichwani ana akili?
 
11: fredi vunja bei.....sijui ndio mwenye kibendi
 
Hiyo issue aliizungumzia kwenye mahojiano na salama "salama na"..
 
Tulioacha hizo blaa blaa blaa tukasoma kipande cha mwishoni tuu tujuane!!!

Na nia ya kusoma mwishoni tunaijua moyoni mwetu tulichokuwa tunakitafuta
 
Duuuuh[emoji849][emoji849]

Wema anatema yai gani kwa mfano???
Alafu wee mbona unawakandia wanawake wenzako. Wee yai la wema na kale kasauti mbona hadi de libolo linasimama lenyewe
 
Kwa sasa anamimba au hana
 
Na aliemjaza nani, ujanja wote huo anakuja kuzalishwa nje ya ndoa.
 
Hao walotajwa ni wale ambao ni maarufu na wenye majina .

Huenda wakawepo na wale wasio maarufu pia!
 
Ila ianaume vya kibongo vinapenda taarifa mbaya mbaya tu za watu. Sijui ni stress za maisha au ni kitu gani[emoji134][emoji134][emoji134]
 
Hilda Newton yeye kaamua kupita njia nyingine, matusi mwanzo mwisho.
 
Alafu wee mbona unawakandia wanawake wenzako. Wee yai la wema na kale kasauti mbona hadi de libolo linasimama lenyewe
Sijakandia popote nimesema ukweli....tatizo lako unawaza sana uchii
 
Asante saana kwa taarifa mkuu nimejifunza mengi hapa na nitayaishi kwakweli,,

Huenda nami siku moja nitakuja kuandika historia yangu iliyobadilika hapa
 
mkuu umemaliza kila kitu hayo mengine kila mtu anamzigo wake wa dhambi lakini kiuhalisia hakuna backdoor yoyote elimu yake imemtetea na Mungu anaemuabudu.
 
mkuu umemaliza kila kitu hayo mengine kila mtu anamzigo wake wa dhambi lakini kiuhalisia hakuna backdoor yoyote elimu yake imemtetea na Mungu anaemuabudu.
Nashangaa sana wanaompinga, wanataka waweke watu wao mtu elimu yenyewe imempiga chenga hata form 4 hakuweza kufaulu japo division 3, chuoni kasomea vitu tofauti na uongozi, hana alichofanya kwenye jamii na hata lugha za kinataifa hata kiingereza tu ni shida
 
Aisee alikupa diary uwe unamwandikia majina 😳
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…