Mfahamu kahaba mkuu wa Ufunuo 17

Roman catholic ndio MAMA WA MAKAHABA ,

HAO LUTHERAN, MASHAHID WA YEHOVA ,N.K NI MABINTI ZAKE

BIBLIA INAWAITA BINTI ZA KAHABA MKUU

SASA NIKUULIZE UPAGANI HUU WA ROMA NDIO UKRISTO?



Na HUU UPAGANI UMERITHIWA NA MABINTI ZAKE

HIVO TUNAPODILI NA KAHABA MKUU( ROMA) HATA MABINT ZAKE WANAFUNGUKA

 
Babeli inajulikana wazi kuwa ni rumi.hata mitume hasa petro wwlikuwa wakitumiana salaam na waumini walioko rumi kwa kuitaja kuwa ni babeli.
 
Jamaa wanatafuta waumi kwa mtindo huo, Yesu wangu awasaidie kwa kuwafundisha Neno lake ili liwaokoe daima
 
aisehhhhhhh nimeamini S.D.A ni kanisa la Mungu duniani.Mungu kawafunulia siri kubwa sana
 
Mimi ni roman catholic
kwa mroma mwenzangu
atakayeweza kunielewesha, kiunagaubaga zile sanamu kanisani ni za nini? Kwanini maandiko yamepinga na still bado zipo? vp kwenye salama Maria kuna sehemu tunatamka mama wa Mungu je ni halali?. Ntaendelea kuuliza zaidi
Nb hayo maswali hasa la sanamu limenifanya niwe mgumu wa kwenda kanisani kabisa.
 
Mimi nikienda kanisani nikiona mchungaji anaongea sana habari za utajiri na kukuingiza kingi ujione na wewe ni tajiri wa roho wakati maisha yako hayapo hivyo huku akisisitiza maswala ya kutoa sadaka sana, hua natoka kati kati ya ibada na sirudi tena.

Mara ya mwisho ilikua kanisa la Kinondoni maarufu kwa Mchungaji Swai, yule bwana alivyosema sadaka haiwezi kua 500 pale pale nikaondoka.
 
Bado upo chungu kimoja na papa

Wasabato ni extremists wa kibiblia. Sioni kama ni sahihi kusema Wasabato ni wakristo Extremists, maana hawa jamaa huwa sielewi kama no Wakristo! Maana hata msalaba wanapambana ufutwe, hawa ni Masadukayo ndio maana wanaelewana sana na Mafarisayo!!

Wale waliosematuwahi mjini tukawaambie wanafunzi walikuja wakamwoba Yesu usiku isije ikasambaa hii habari kuwa amefufuka na akapata wafiasi wengi (NV)
 
Fafanuzi za uongo hizo kitabu cha ufunuo kiko wazi kwa sababu kabla ya ufunuo kili funuliwa chote yote yaliyomo kwenye ufunuo yametafsiliwa na vitabu nya nyuma
Lete fafanuzi za kweli...
 
Ila kuabudu masanamu

Kula nguruwe

Kuruhusu ushoga

Kuvunja amri za Mungu

Kusherekea sikukuu za kipagan X mass, easter paganism,hallowen , jumatano ya majivu,n.k

Kuombea wafu ,au ibada ya wafu
 
Hiyo tafsiri unaipata kwa uongoz wa roho mtakatifu

Kitabu cha ufunuo kimeandikwa kwa kificho
Hujanielewa,kwenye Ufunuo 17 kuna mahali malaika alikuwa anampa tafsiri ya kile alichokiona jangwani kuanzia vichwa saba,mnyama hadi mwanamke...

Malaika alikuwa akimueleza Yohana maana ya kimoja baada ya kingine,nataka uweke hapa kile malaika alimuambia Yohana juu ya maana ya mwanamke,hapa roho mtakatifu wa nini wakati mafumbo yamefumbuliwa tayari na malaika?
 
Ila kuabudu masanamu

Kula nguruwe

Kuruhusu ushoga

Kuvunja amri za Mungu

Kusherekea sikukuu za kipagan X mass, easter paganism,hallowen , jumatano ya majivu,n.k

Kuombea wafu ,au ibada ya wafu
Unaweza kuwa mpinzani wa dhehebu fulani hili halina shida,lakini kuanza kudanganya ni jambo la ajabu na lisilokubalika maana kuna watu wanaweza kuamini maneno yako...

Najua matatizo ya kanisa katoliki lakini usidanganye watu...

Naomba uweke na ushahidi wa kila kimoja hapo kuwa kwanza kimeruhusiwa na kanisa katoliki na pia ni kosa kimaandiko....
 
Ila kuabudu masanamu

Kula nguruwe

Kuruhusu ushoga

Kuvunja amri za Mungu

Kusherekea sikukuu za kipagan X mass, easter paganism,hallowen , jumatano ya majivu,n.k

Kuombea wafu ,au ibada ya wafu
Unaruhusiwa na nani uwe shoga na unakubali? Huna utashi? Ina maana unaongozwa na SDA?
Now remember madhehebu ni uchaguzi wa mwanadamu! Yesu alihubiri kwa kutaja dhehebu gani? Aliwaambia wawe wanakutana kwa jina la dhehebu? Alisema yashike mafundisho yake tu na umfuate!

Wasabato sio ni kundi la waandishi wa sheria tu za kidunia!! Niambie mafundisho ya Yesu yaliposema kawafundisheni na wengine wasile nguruwe!!
Acheni ukuda nyie! Baba yetu wa mbinguni sio mkuda. Kama hatujaelewa angetuelewesha kwani ameishiwa namna ya kutufundisha?
Nyie vipi? au mtafuteni Yuda mwingine mmpe vipande 30 vya fedha! Unaelewa maana ake?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…