Mfahamu kwa undani Zarinah, mwanamke anayezima Nyota ya Wema Sepetu

Zaria ana miaka 40 tuache kudanganyana, pia nafurahi kusikia ni mmliki wa chuo kikuu hii maana yake anathamini elimu kwahiyo nategemea kuona Diamond akipata shahada yake hapo chuoni hata kwa kubebwabebwa tu yote yanawezekana.

Dar zari ni kiboko , kweli ana zari la mental kama jina lake lilivyo, maana ni shidaaa...
 
Yaani na hapa jamii mna muda wa kumfwatilia mwenye uchumi wa UN kazi kweli tuleteeni topic za maana
 
Kwani kujuwa 2Pac alizaliwa mwaka 1971 kunahitaji uwe wewe ndio umemzaa? Come on.

Tupac hata mama yake keshanukuliwa akisema alimzaa lini Tupac na kuna vyanzo kadhaa rasmi vinavyothibitisha hilo.

Sasa wewe umejuaje kuwa Zari alizaliwa 1975?

Uliwahi kusikia mahali? Kama uliwahi, ulisikia wapi na ulimsikia nani akisema hivyo?

Kwa vile hujajibu kuwa wewe umejuaje Zari alizaliwa 1975, basi nina kila sababu ya kuamini kuwa unazusha tu la sivyo ungejibu swali langu bila mizengwe.
 

Hapa hakuna mizengwe bali umethibitisha kuwa si lazima uwe umezaa Barack Obama kujuwa umri wake.

This debate is over.
 
Hapa hakuna mizengwe bali umethibitisha kuwa si lazima uwe umezaa Barack Obama kujuwa umri wake.

This debate is over.

Wewe ni mfitini, msabasi, na mpika majungu (ambazo ni sifa mbaya kwa mwanaume)

Hujui Zari kazaliwa lini lakini unajifanya unajua.

Huna tofauti na wale upendao kuwaponda kuwa hujifanya kujua sana watu ilhali hawawajui.

Badilika.
 
Wewe ni mfitini, msabasi, na mpika majungu (ambazo ni sifa mbaya kwa mwanaume)

Hujui Zari kazaliwa lini lakini unajifanya unajua.

Huna tofauti na wale upendao kuwaponda kuwa hujifanya kujua sana watu ilhali hawawajui.

Badilika.

Unapompinga mwenzako ni ustarabu wa kawaida kuja na fact, huna fact zozote unapata wapi credibility ya kunipinga? Do you know me?
 
Unapompinga mwenzako ni ustarabu wa kawaida kuja na fact, huna fact zozote unapata wapi credibility ya kunipinga? Do you know me?

Ahahahahahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

Wewe kweli ni character! Unajua maana ya fact wewe?

Mimi sijakupinga.

Nimeuliza swali juu ya kauli yako kwamba Zari ana miaka 40/ kazaliwa 1975.

Swali lenyewe ni 'umejuaje Zari ana miaka 40'? Hujajibu!! Unazunguka zunguka tu utadhani unacheza mduara.

Kushindwa kwako kujibu kumenishawishi niamini wewe ni mzushi uliyejaa inda.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…