ni hatare sana me yule demu alinikosha sana alivokua akimpenda jet li hku jet akizugaKuna dogo mle anapiga mabuti kishenzi
Lakini Mkuu hali ya uchumi wake si bado ipo vizuri?Anasumbuliwa na ugonjwa wa uti wa mgongo,lakini sio serious kivile,
pia jetlee alishakuwa mzee,na ana kipara sikuhizi ukikutana nae unaweza usimjue,
means career yake ndo ishafika mwisho kwani yale madoido na kashikashi hawezi tena,
NOTHING IS PERMANENT
Mwanzo nilijua ni mtoto wa Jejt LiDuuh.kumbe ni kaka angu sikujua
Jet li anajifanyaga hana shobo na madem, ini hatare sana me yule demu alinikosha sana alivokua akimpenda jet li hku jet akizuga
Ntakuwa nimeiona lakini siikumbuki.au ile anayo pigana na mabingwa mbalibali?Unaifahamu The Legend of Shaolin?
hivo unavyotaja vitanisaidia nnMbona kichwa cha habari ni tofauti na content.
Au unataka Likes nyingi na Views wengi kwenye Thread yako.
Unajua ulichokiandika kwenye heading na main body?hivo unavyotaja vitanisaidia nn
Alikua na hako katoto kama mtoto wake. Kuna jamaa anapigana kajipaka uji wa chuma yupo kwenye kigali. Dogo anapiga huyo na baba yakeNtakuwa nimeiona lakini siikumbuki.au ile anayo pigana na mabingwa mbalibali?
ha haha hata kwenye the bodyguard pia alikua ataki shobo na yule bi mdada ila kwenye fong si yuk ndo alikua na wake wawili ka ckokoseaJet li anajifanyaga hana shobo na madem, i
Najua nilichokifanya.Unajua ulichokiandika kwenye heading na main body?
Fong sai yuk napenda mama yake tu alivyo mcharukoha haha hata kwenye the bodyguard pia alikua ataki shobo na yule bi mdada ila kwenye fong si yuk ndo alikua na wake wawili ka ckokosea
Sio hiyo mkuu, anakuwa na kale katoto ambacho aliact nae ktk My Father is hero. Sasa hiyo kuna watoto wamepigwa ramani nyuma ya mgongo. Kuna kikundi cha watu wanaitafuta hiyo ramani.Ntakuwa nimeiona lakini siikumbuki.au ile anayo pigana na mabingwa mbalibali?
Fong sai yuk napenda mama yake tu alivyo mcharukoha haha hata kwenye the bodyguard pia alikua ataki shobo na yule bi mdada ila kwenye fong si yuk ndo alikua na wake wawili ka ckokosea
hahahaha kweli alafu alikua anatoa kichapo heavyFong sai yuk napenda mama yake tu alivyo mcharuko
Jamaa mwenyewe ana sura mbaya mbaya hivi.na kuna watoto kama saba hivi.nishaipata.Alikua na hako katoto kama mtoto wake. Kuna jamaa anapigana kajipaka uji wa chuma yupo kwenye kigali. Dogo anapiga huyo na baba yake
Yas nimeshaipata.lakini hata the mask ni balaa.Sio hiyo mkuu, anakuwa na kale katoto ambacho aliact nae ktk My Father is hero. Sasa hiyo kuna watoto wamepigwa ramani nyuma ya mgongo. Kuna kikundi cha watu wanaitafuta hiyo ramani.
Adui kuu ni jamaa flani hivi ambae mwanzoni mwa muv alipigwa na Jet Li, Jet Li na ile Jamii ikaamini kwamba amekufa kumbe jamaa alienda wapi sijui huko kujifunza Invisible kung fu, anarudi tena duniani.
Adui atakufa baada ya kupigwa mpaka kudumbukizwa kwenye acid na kupotea kabisa.
Kashkash ndani ya hii muvie ninaikubali saaana. The Legend of Shaolin na The Bodyguard from Beijin huwa sichoki kuzitazama.
KunKuna ile yupo na mzungu anapiga risasi kinoma, jambazi anakiatu chenye msumenoha haha hata kwenye the bodyguard pia alikua ataki shobo na yule bi mdada ila kwenye fong si yuk ndo alikua na wake wawili ka ckokosea
pia kuna yule mama na binti ake walikua matapeliJamaa mwenyewe ana sura mbaya mbaya hivi.na kuna watoto kama saba hivi.nishaipata.
Yue dogo awe mrisi wa Jet li dogo anajuaJamaa mwenyewe ana sura mbaya mbaya hivi.na kuna watoto kama saba hivi.nishaipata.