kalagabaho
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 5,457
- 5,893
Anasumbuliwa na ugonjwa wa uti wa mgongo,lakini sio serious kivile,
pia jetlee alishakuwa mzee,na ana kipara sikuhizi ukikutana nae unaweza usimjue,
means career yake ndo ishafika mwisho kwani yale madoido na kashikashi hawezi tena,
NOTHING IS PERMANENT
Eti ukikutana nae unaweza usimjue!!!.. mkuu hapa sijui ulimaanisha nini!!