Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Nafikiri picha yake inaelekea kutoa fununu ya wasihi wake... kazi iendelee.Atakuwa na elimu ya hapa na pale/na log off !
Hakika umenena vyema snSifa ya uDC Ni kuitukana Chadema. If you can manage to do this efficiently, then you are there
Watu wanagawana mema ya nchi kupitia CCMKama huna connection na ccm cake ya taifa utaisikia kwa jirani utapumbazwa kwa mambo mengi
Kwa mwili huu sintashangaa akianza kuboronga first week tu naona kama reasoning yake imehamia tumboni....kama yule mabendera kibao wajihi wake wamafanana sana ......tumpe muda utaongea yote..Taarifa zinasema kwamba kabla ya Uteuzi huu alikuwa Katibu mwenezi wa ccm Wilaya ya Tanga
Bado haijajulikana kama ana uzoefu mwingine wowote wala kiwango chake cha elimu
View attachment 1827126
UmenistuaAtakuwa kapigiwa pande na ummy
Sawa na ubunge tu kina Musukuma na Tale wanaweza kwanini yeye ashindwe uDC??uDC hauna hadhi kama wengine wameweza kwann yeye
Halafu nyumbani kwao jirani na kwetu pale Kyela.Umenistua
Nafikiri picha yake inaelekea kutoa fununu ya wasihi wake... kazi iendelee.
Nafikiri picha yake inaelekea kutoa fununu ya wasihi wake... kazi iendelee.