Msomi ni yupi?...aliyehitimu ngazi fulani?...au anayeendelea na masomo ya elimu ya juu?Kumbe mwaka wa pili chuo ndio 'msomi'? Hakuna wachezaji wengine wanaosoma chuo au?
Halafu mijitu ya sayansi haijui hata elimu ya uraia miaka ile walikua wanapgwa penalty za civics balaa.. unakuta jitu linasifia physics na chemistry lakini hamjui hata waziri wa OR-MUU au waziri wa Miundombinu halafu linajisifu kichwa..Medicine kwani ni kitu gani mzee? Stephen Hawkings unamjua? Ubongo wake umepata tatizo 99% na anatumia 99% ya 1% ilobakia lkn ndio mwana sayansi prof wa hesabu pekee & cosmology na amekalia dawati ya Isaack Newton pale Havard.
Ubongo una nafasi kubwa mno ya kujua mambo, usidhani medicine ndio yardstick ya kitu kigumu
wale watangazaji aidha walikua wanapotosha au hawajui mfumo wa taaluma hii lakini huenda tatizo linakuzwa mahala pengine na kuambukiza kwa hiyo nimeliweka kibega
dah! inashangaza sana..... mijitu roho mbayaaaaakupitia uzi huu nimegundua watanzania wengi wanaroho za kwanini na roho za kishirikina
NAJIULIZA SANA maana ni kikosi cha kwanza halafu timu ipo Tanga
ya msuba labda.Nyoso si ana degree naye au?