Madame S
JF-Expert Member
- Mar 4, 2015
- 17,171
- 34,394
Asante rafiki, anaitwa dudu washa washa huyu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante rafiki, anaitwa dudu washa washa huyu
Asante rafiki, anaitwa dudu washa washa huyu
Alhamdulillah, niko salama hofu kwako, me najuaga hawa wote ni wadudu washawasha siwez kutofautisha ina mana huyu akikudanda hakuwashi?Hapana rafiki, anafanana nae tu. Si unaona yupo kama kiwavi? Ila akipitia mazao hayaachi salama. Mzima lakini?
Alhamdulillah, niko salama hofu kwako, me najuaga hawa wote ni wadudu washawasha siwez kutofautisha ina mana huyu akikudanda hakuwashi?
yani hapo unaamisha kabisa maana weka MAsante rafiki, anaitwa dudu washa washa huyu
Hahahhahaha endelea kuwaza mambo yako hunyani hapo unaamisha kabisa maana weka M
Hahahhaha i mean kudandia sjui ndio hivo mezoea kusema kudanda, nawaogopa hao japo hawajawah kuniwashaHahahaa akikufanyaje? Sijafanya huo utafiti. Wale washawasha kwanza wanamanyoya mengi na ndio hayo yana washa washa yakikugusa.
Nimependa kudanda tu...
umejuaje kama me nawaza hayo mambo kama na wewe ulikuwa huwazi??Hahahhahaha endelea kuwaza mambo yako hun
Me na ww tu mwili mmoja unesahau au hujuiumejuaje kama me nawaza hayo mambo kama na wewe ulikuwa huwazi??
napita memeMe na ww tu mwili mmoja unesahau au hujui
Usirud tenanapita meme
Hawashi. Lakini mikoa ya kati na magharibi mwa Tz mwaka huu hiyo aina ya viwavi vimetia hasara kubwa sana wakulima.Alhamdulillah, niko salama hofu kwako, me najuaga hawa wote ni wadudu washawasha siwez kutofautisha ina mana huyu akikudanda hakuwashi?
Hawashi. Lakini mikoa ya kati na magharibi mwa Tz mwaka huu hiyo aina ya viwavi vimetia hasara kubwa sana wakulima.
Vikishambulia shamba kwa mfano la mahindi, havisikii dawa.
Huyo sie, yy ni mdogo sana
Kiingereza anaitwa "Tomato leaf miner". Kisayansi anaitwa Tuta absoluta.hivi hamna jina la kitaalamu kweli mpaka tumwite kanitangaze?.....bac kwa kiingereza tumwite ......Announce me......