Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
FaizaFoxy nipo nae
For what???Allah Kareem amweke mahala pema peponi mja wake mwema.
acha ujinga. huoni ni mtu mwema.For what???
Wazungu ambao ndugu zake Yesu kwa nini wanachelewesha mchakato wa kumpitisha Mtakatifu mweusi(NYERERE).Bado unaendelea mtumish
Ujinga wako wa kutokwenda jumuiya sababu kwamba unagari bado unaendelea nao au umekua sasa umeacha
Wema wake kwa ukatoliki, ALLAH Kareem ana husika nini mpaka amuweke mahala pema?acha ujinga. huoni ni mtu mwema.
Astakafilulah!!!!
Picha ya kuunda kwa udongo ya mzungu huitwa sanamu ya mtu mweusi huitwa kinyagoHivi hakuna mtakatifu Maduhu wa Simiyu? Watakatifu wote ni watu kutoka nje ya nchi.
Kanisa katoliki liharakishe kuntunza utakatifu mwalimu Nyerere tuwe tunaomba kwake mtakatifu Nyerere wa Butiama utuombee sisi wakosefu.
siri ya pepo na moto anaijua mwenyewe muumba. dini iliyomkuta kwenye maisha yake ni huo ukatoliki na akaishi kama mja mwema.Wema wake kwa ukatoliki, ALLAH Kareem ana husika nini mpaka amuweke mahala pema?
Sawa tajirWazungu ambao ndugu zake Yesu kwa nini wanachelewesha mchakato wa kumpitisha Mtakatifu mweusi(NYERERE).
Mpo busy kusherekea X mas ambayo ni birthday ya binadamu wa kufikirika huku hukumbuki birthday za wazazi wako.
Endeleeni na Ung'ombe wenu wa mtakatifu fulani utuombeeeee
Uliisha baada ya vatican kukataa miujiza yote iliyopelekwa, ili kupata sifa ya kutangazwa ingalao kuwa mwenyeheri(Blessed)Hivi mchakato wa kumfanya Mwl JULIUS KAMBARAGE NYERERE kuwa mtakatifu ulifia wapi?
Mkuu ni Big no, kama ni pepo basi ipo ktk ukatoliki, apo anahusuka yesu, ila kwa Allah (s.w) atakama ange jenga misikiti dunia nzima kwa Imani yake aliyokufa nayo hana pepo kwa Allahsiri ya pepo na moto anaijua mwenyewe muumba. dini iliyomkuta kwenye maisha yake ni huo ukatoliki na akaishi kama mja mwema.
Picha ya mtakatifu Iko wapi. Tunataka angalau tumuone Kwa picha Mtakatifu Maria Bakita.