Mfahamu Mtanzania Theddy Ladislaus, aliyekuwa Mshauri wa Raisi wa Zambia

Mfahamu Mtanzania Theddy Ladislaus, aliyekuwa Mshauri wa Raisi wa Zambia

JUMA JUMA

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2013
Posts
790
Reaction score
964
Mfahamu Theddy Ladislaus, aliyekuwa Mshauri wa Raisi wa Zambia kwenye Mawasiliano ya Kimkakati lakini kafanya kazi kwenye chaguzi za Ufilipino(2015), Nigeria (2015), Serikali ya Ghana, Dominican Republic na hata chaguzi za CCM Zanzibar.

Theddy Ladislaus alikuwa mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba akiwakilisha wanachuo kipindi hicho alivyokuwa Makamu wa Raisi wa serikali ya wanafunzi Chuo Kikuu cha Mzumbe.

Kwa elimu, ana Masters (MBA) in International Business and Entrepreneurship na Degree ya ICT with Business.
Pia amesoma chuo cha Diplomasia nchini Zambia mwaka 2017.

Teddy ni Kiongozi kijana, mwenye utulivu, nidhamu, mwanamikakati mahiri (strategist) mwenye uwezo mkubwa na mwanadiplomasia wa kweli ambaye atatuwakilisha vema sana kwenye Bunge la Afrika Mashariki hasa ikiwa tunamhitaji kwa nyakati za sasa zenye ushindani wa Diplomasia ya uchumi.
IMG-20220910-WA0009(1).jpg
 
Mfahamu Theddy Ladislaus, aliyekuwa Mshauri wa Raisi wa Zambia kwenye Mawasiliani ya Kimkakati lakini kafanya kazi kwenye chaguzi za Ufilipino(2015), Nigeria (2015), Serikali ya Ghana (kipindi cha Raisi John Mahama), Marekani (Ted Cruz), Dominican Republic na hata chaguzi za CCM Zanzibar.

Theddy Ladislaus alikuwa mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba akiwakilisha wanachuo kipindi hicho alivyokuwa Makamu wa Raisi wa serikali ya wanafunzi Chuo Kikuu cha Mzumbe.

Kwa elimu, ana Masters (MBA) in International Business and Entrepreneurship na Degree ya ICT with Business.
Pia amesoma chuo cha Diplomasia nchini Zambia mwaka 2017.

Teddy ni Kiongozi kijana, mwenye utulivu, nidhamu, mwanamikakati mahiri (strategist) mwenye uwezo mkubwa na mwanadiplomasia wa kweli ambaye atatuwakilisha vema sana kwenye Bunge la Afrika Mashariki hasa ikiwa tunamhitaji kwa nyakati za sasa zenye ushindani wa Diplomasia ya uchumi.
Abarikiwe sana mwanangu
 
Mfahamu Theddy Ladislaus, aliyekuwa Mshauri wa Raisi wa Zambia kwenye Mawasiliani ya Kimkakati lakini kafanya kazi kwenye chaguzi za Ufilipino(2015), Nigeria (2015), Serikali ya Ghana (kipindi cha Raisi John Mahama), Marekani (Ted Cruz), Dominican Republic na hata chaguzi za CCM Zanzibar.

Theddy Ladislaus alikuwa mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba akiwakilisha wanachuo kipindi hicho alivyokuwa Makamu wa Raisi wa serikali ya wanafunzi Chuo Kikuu cha Mzumbe.

Kwa elimu, ana Masters (MBA) in International Business and Entrepreneurship na Degree ya ICT with Business.
Pia amesoma chuo cha Diplomasia nchini Zambia mwaka 2017.

Teddy ni Kiongozi kijana, mwenye utulivu, nidhamu, mwanamikakati mahiri (strategist) mwenye uwezo mkubwa na mwanadiplomasia wa kweli ambaye atatuwakilisha vema sana kwenye Bunge la Afrika Mashariki hasa ikiwa tunamhitaji kwa nyakati za sasa zenye ushindani wa Diplomasia ya uchumi.
Haya tumemfahamu sasa
 
Hahahah ninavyowafahamu wahuni wa chama changu lazima wapite kimasihara kwanza.

Inawezekana akawa ni asset lakini tuliowapeleka kutuwakilisha kufanya maamuzi wanaweza wasiwe asset.....
Wanaweka kando kwanza akili zao wanatumia za CCM
 
Mfahamu Theddy Ladislaus, aliyekuwa Mshauri wa Raisi wa Zambia kwenye Mawasiliani ya Kimkakati lakini kafanya kazi kwenye chaguzi za Ufilipino(2015), Nigeria (2015), Serikali ya Ghana (kipindi cha Raisi John Mahama), Marekani (Ted Cruz), Dominican Republic na hata chaguzi za CCM Zanzibar.

Theddy Ladislaus alikuwa mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba akiwakilisha wanachuo kipindi hicho alivyokuwa Makamu wa Raisi wa serikali ya wanafunzi Chuo Kikuu cha Mzumbe.

Kwa elimu, ana Masters (MBA) in International Business and Entrepreneurship na Degree ya ICT with Business.
Pia amesoma chuo cha Diplomasia nchini Zambia mwaka 2017.

Teddy ni Kiongozi kijana, mwenye utulivu, nidhamu, mwanamikakati mahiri (strategist) mwenye uwezo mkubwa na mwanadiplomasia wa kweli ambaye atatuwakilisha vema sana kwenye Bunge la Afrika Mashariki hasa ikiwa tunamhitaji kwa nyakati za sasa zenye ushindani wa Diplomasia ya uchumi.
Kumbe kampeni?
 
Back
Top Bottom