Mfahamu Mtanzania Theddy Ladislaus, aliyekuwa Mshauri wa Raisi wa Zambia

Mfahamu Mtanzania Theddy Ladislaus, aliyekuwa Mshauri wa Raisi wa Zambia

Mfahamu Theddy Ladislaus, aliyekuwa Mshauri wa Raisi wa Zambia kwenye Mawasiliani ya Kimkakati lakini kafanya kazi kwenye chaguzi za Ufilipino(2015), Nigeria (2015), Serikali ya Ghana (kipindi cha Raisi John Mahama), Marekani (Ted Cruz), Dominican Republic na hata chaguzi za CCM Zanzibar.

Theddy Ladislaus alikuwa mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba akiwakilisha wanachuo kipindi hicho alivyokuwa Makamu wa Raisi wa serikali ya wanafunzi Chuo Kikuu cha Mzumbe.

Kwa elimu, ana Masters (MBA) in International Business and Entrepreneurship na Degree ya ICT with Business.
Pia amesoma chuo cha Diplomasia nchini Zambia mwaka 2017.

Teddy ni Kiongozi kijana, mwenye utulivu, nidhamu, mwanamikakati mahiri (strategist) mwenye uwezo mkubwa na mwanadiplomasia wa kweli ambaye atatuwakilisha vema sana kwenye Bunge la Afrika Mashariki hasa ikiwa tunamhitaji kwa nyakati za sasa zenye ushindani wa Diplomasia ya uchumi.
Huyu naye alikua inner circle ya President Lungu hapo 🇿🇲, udikiteta ulitamalaki mno,rushwa za ajabu,uchumi wa ovyo etc etc,angalia now President H&H ,Zambia inapendeza, demokrasia imetamalaki na rushwa almost zero kama Botswana, ZWK imekua the best currency against usd ni hii imesababisha bidhaa kushuka bei in Zambia 🇿🇲, huyu akipita as usual ataiwakilisha ccm sio nchi, yaani hawa politicians wetu wamekua so corrupt, wao uaminifu wao upo kwa chama Chao sio wananchi.
 
Mfahamu Theddy Ladislaus, aliyekuwa Mshauri wa Raisi wa Zambia kwenye Mawasiliani ya Kimkakati lakini kafanya kazi kwenye chaguzi za Ufilipino(2015), Nigeria (2015), Serikali ya Ghana (kipindi cha Raisi John Mahama), Marekani (Ted Cruz), Dominican Republic na hata chaguzi za CCM Zanzibar.

Theddy Ladislaus alikuwa mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba akiwakilisha wanachuo kipindi hicho alivyokuwa Makamu wa Raisi wa serikali ya wanafunzi Chuo Kikuu cha Mzumbe.

Kwa elimu, ana Masters (MBA) in International Business and Entrepreneurship na Degree ya ICT with Business.
Pia amesoma chuo cha Diplomasia nchini Zambia mwaka 2017.

Teddy ni Kiongozi kijana, mwenye utulivu, nidhamu, mwanamikakati mahiri (strategist) mwenye uwezo mkubwa na mwanadiplomasia wa kweli ambaye atatuwakilisha vema sana kwenye Bunge la Afrika Mashariki hasa ikiwa tunamhitaji kwa nyakati za sasa zenye ushindani wa Diplomasia ya uchumi.
Hayo yote ni useless kama kavaa nguo za kijani. Kwa kifupi atakua useless citizen kama tulivyo waona akina kabudi, mwakyembe nk nk.
 
1662810891890.png


Ms. Theddy Ladislaus is the Founder and Managing partner of Untold Global Ltd, a pan-African group of companies with interests in Healthcare, Agriculture, ICT and Strategic Communication. She is synonymous for having devised high impact business & governance strategies aimed at solving socio-economic issues in a number of markets and communities. She is a leader with a long track record which goes back to her teenage years where she served as the youngest member of the parliament in 2014 under the 4th President of the United Republic of Tanzania. Her passion for policy and governance have earned her a place on the global stage where she have participated in the formation and development of governance strategies in the youth sector.

Source : Theddy Ladislaus, an impact driven business builder in Tanzania — Lionesses of Africa
 
Mfahamu Theddy Ladislaus, aliyekuwa Mshauri wa Raisi wa Zambia kwenye Mawasiliani ya Kimkakati lakini kafanya kazi kwenye chaguzi za Ufilipino(2015), Nigeria (2015), Serikali ya Ghana (kipindi cha Raisi John Mahama), Marekani (Ted Cruz), Dominican Republic na hata chaguzi za CCM Zanzibar.

Theddy Ladislaus alikuwa mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba akiwakilisha wanachuo kipindi hicho alivyokuwa Makamu wa Raisi wa serikali ya wanafunzi Chuo Kikuu cha Mzumbe.

Kwa elimu, ana Masters (MBA) in International Business and Entrepreneurship na Degree ya ICT with Business.
Pia amesoma chuo cha Diplomasia nchini Zambia mwaka 2017.

Teddy ni Kiongozi kijana, mwenye utulivu, nidhamu, mwanamikakati mahiri (strategist) mwenye uwezo mkubwa na mwanadiplomasia wa kweli ambaye atatuwakilisha vema sana kwenye Bunge la Afrika Mashariki hasa ikiwa tunamhitaji kwa nyakati za sasa zenye ushindani wa Diplomasia ya uchumi.
Masikini anasumbuliwa na nini, mbona ni kijana hivyo! Aliingia CCM ili apate uteuzi bila jasho.
 
Back
Top Bottom