fantastic philip
Senior Member
- Oct 17, 2015
- 195
- 688
MFAHAMU MTOTO. ALLY KIMARA KWA UFUPI.
Ally anamiaka 11 (anatimiza mwezi wa nne) mwaka huu,
Ameanza kuugua akiwa na umri wa miaka miwili na miezi minne (2.4) Mama ake anasema ilitokea ghafra usiku saa saba aliamka usiku ghafra homa, akakohoa then akaanza kulia (ilikua zanzibar)
Akapelekwa hospitali ambapo vipimo vilionyesha ana pneumonia kali, mchana akazidi kudhoofikaHali iliyosababisha kutoka zanzibar kuja dar muhimbili kama sikosei.
Lakiji muhimbili hakukua na mashine za kutosha kupumulia baada ya siku sita wakaenda NAIROBI
Huko ndipo ali corrups baada ya siku moja.Ilikua 2013 ndiyo mpaka leo, dogo aliandamwa na maradhi ikiwemo paralysis,semicomma etc.
Ikabidi baadhi ya vipimo kuagizwa nje ya nchi kama Marekani, India na German, kujiridhisha
Unaambiwa dogo hakuawai kata tamaa na alikua na jitihada sana japo alikua anaumwa (katika shule)Hakuwai kwenda shule, ila walimu walikua wanakuja kumfundisha nyumbani, mwisho wa siku akasajiliwa moja kwa moja darasa la pili 2020.
Na katika mtihani wa darasa la tatu alishika nafasi ya 4 kati ya wanafunzi 575Kwa sasa ni darasa la nne, anahifadhi quran kama kawaida pia ni shabiki mkubwa wa mpira,
Tanzania ni shabiki wa YANGA
Pia ana foundation yake inayosaidia watu wenye shida kama hizo na nyinginezoLeo yanga wamecheza mechi ya hisani kwaajili yake na foundation.. ni hayo tu
GSMfoundation imechangia 10M
Rais samia kaahidi 15M
Thanks
Source.. MAMA YAKE (U TUBE)
#officialseba255 #ubarikiwekamabado #mrfact
Ally anamiaka 11 (anatimiza mwezi wa nne) mwaka huu,
Ameanza kuugua akiwa na umri wa miaka miwili na miezi minne (2.4) Mama ake anasema ilitokea ghafra usiku saa saba aliamka usiku ghafra homa, akakohoa then akaanza kulia (ilikua zanzibar)
Akapelekwa hospitali ambapo vipimo vilionyesha ana pneumonia kali, mchana akazidi kudhoofikaHali iliyosababisha kutoka zanzibar kuja dar muhimbili kama sikosei.
Lakiji muhimbili hakukua na mashine za kutosha kupumulia baada ya siku sita wakaenda NAIROBI
Huko ndipo ali corrups baada ya siku moja.Ilikua 2013 ndiyo mpaka leo, dogo aliandamwa na maradhi ikiwemo paralysis,semicomma etc.
Ikabidi baadhi ya vipimo kuagizwa nje ya nchi kama Marekani, India na German, kujiridhisha
Unaambiwa dogo hakuawai kata tamaa na alikua na jitihada sana japo alikua anaumwa (katika shule)Hakuwai kwenda shule, ila walimu walikua wanakuja kumfundisha nyumbani, mwisho wa siku akasajiliwa moja kwa moja darasa la pili 2020.
Na katika mtihani wa darasa la tatu alishika nafasi ya 4 kati ya wanafunzi 575Kwa sasa ni darasa la nne, anahifadhi quran kama kawaida pia ni shabiki mkubwa wa mpira,
Tanzania ni shabiki wa YANGA
Pia ana foundation yake inayosaidia watu wenye shida kama hizo na nyinginezoLeo yanga wamecheza mechi ya hisani kwaajili yake na foundation.. ni hayo tu
GSMfoundation imechangia 10M
Rais samia kaahidi 15M
Thanks
Source.. MAMA YAKE (U TUBE)
#officialseba255 #ubarikiwekamabado #mrfact