Mfahamu ndege Flamingo

Mkuu maisha ni mambo mengi..eti unaambiwa mvua kubwa Rufiji machine imezimwaπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
πŸ˜ƒπŸ˜πŸ˜€Wakati Tanzania Tunahitaji Umeme Saa 24/7 Tuwe Juu Historia Iandikwe
Usiwe Unazimazima

Leo UnaambiwA Wanafungulia Maji Eti Ni Mengi Kwanini Wasifunge Mashine Zote 9
 
πŸ˜ƒπŸ˜πŸ˜€Wakati Tanzania Tunahitaji Umeme Saa 24/7 Tuwe Juu Historia Iandikwe
Usiwe Unazimazima

Leo UnaambiwA Wanafungulia Maji Eti Ni Mengi Kwanini Wasifunge Mashine Zote 9
Babu utaambiwa mchochezi wa Nchi.

Logic ndogo sana,nilikuwa naangalia Habari ile siku nikahamisha na matusi.

Kuna Kima hii Nchi hawataki kabisa Wananchi wake wakae kwa raha hata kidogo.πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Watu toka wazaliwe ni roho mbaya tu.

Baadae utaambiwa zile Machine maji hayatoshi walihujumu yqkafunguliwa yote.

Kweli fikiria eti Bwawa la kujaa two years limejaa mwezi tu.πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…