HahahahahaWe unawaza nini mwenzangu? Kuangalia jinsi watu wanavyokashfiwa au? Ebu nitolee uchawi wako hapa
Kuna watu wanajiedit bana yani kama ni tuzo watapata bila kupigiwa kura[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Zishukuriwe 360 mana watu wataumbuka mjini
Weka namba moja ni chagabibi huyo kibokooKuna watu wanajiedit bana yani kama ni tuzo watapata bila kupigiwa kura
1 hamisa mobeto
2 lulu
3 muna
Hawa ni kiboko
Nilimsahau aseee huyo nae hatariWeka namba moja ni chagabibi huyo kibokoo
Yaan aiseee anajiedit anakua kama mdoli si mdoliNilimsahau aseee huyo nae hatari
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hiyo ni camera 4500 ha ha ha maimuna hapana asee[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Bas sura yake ngumu kama hadi hapo kaedit lakini bado shughuli ipo
Sasa hivi iko application inaitwa 365 inatinda hadi nyusi[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Zishukuriwe 360 mana watu wataumbuka mjini
Hizo camera zipo ngapi kwani,pia iuna magic camera ni kibokoHiyo ni camera 4500 ha ha ha maimuna hapana asee
Ha ha ha ha haSasa hivi iko application inaitwa 365 inatinda hadi nyusi
Nilimsahau aseee huyo nae hatari
Yaan aiseee anajiedit anakua kama mdoli si mdoli
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Bas sura yake ngumu kama hadi hapo kaedit lakini bado shughuli ipo
AhahhaahahhahahahahNgoja niwa-tagg hao mnaowasema waje.
Sijasikia kichambo siku nyingi.
Ebu mwambie!mtu kubadisha mashati na saa mkononi ndio Nina pesa chafu....kweli mtoa mada anaziinguaAna pesa chafu,kisha unatuonyesha Prado !!!!! Mi nilikuwa natafuta sehemu utakayosema shughuli yake au biashara anayofanya, sio kutuonyesha gari ambayo kwa Dar ni sare ya jiji.
Kaburi jipya!