Mfahamu rafiki mpya wa wema, Muna na "UTAJIRI" wa kutisha

Hawachelewi kuuza madawa ya kulevya, maana wanapeda short cut
 
Kuna watu wanatamani hili lingekuwa kaburi ili walifukue![emoji28][emoji28][emoji28]
 

Bongo movie wana maisha ya kuigiza sana
 
Hela za kuzushia mwanawe kalazwa anaumwa ndizo alizokua akitamba nazo
 
kaburi limefukuliwa....huo utajiri ulienda wapi mbona pesa ya kumuuguza mtoto wake alichangishiwa?.

ila sishangai sana maana enzi za mzee jk wakaka na wadada wa mujini walikuwa na pesa sana.
 
Ko mwanae tunapata was was kifo chake acheni utajili malipo mkalime mpate halali
 
Mwenye Pesa kuliko wasanii wote Bongo ni askofu Kakobe tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…