Mfahamu rafiki wa Wema anayedaiwa kumsaliti kwa kuanzisha uhusiano-na mwanaume aliyekuwa wa Wema


Kumbe ni kama kazi aiseee
 
Mtamaliza maduka, Nyama ni ile ile tu. Ukiila Sinza, Magomeni, au Gongo la Mboto. Ladha ile ile.
Hahhaha MZIMU watakwambia hawafuati ladha wanafuata mapishi sasa sijui wakishakula wanacheua micheuo tofauti mwe! Ni Shiiiiidaaaa mjini hapa. Huyu Clement huyu, ngoja tu ninyamaze!
 
Last edited by a moderator:
Kama hauna hela wanawake wazuri watabaki kuwa shemeji zako daima,ngoja niendelee kutafuta hizi ngawira kwa nguvu zote ili huyu niliemuoa nisinyang'anywe,watu wanajua kuhonga jamani
 
Jamani picha ya Clement wapiii hua anaongelewaa tu marq kigogo wa ikulu mara kigogo wa airpot lolll
 
Jamani picha ya Clement wapiii hua anaongelewaa tu marq kigogo wa ikulu mara kigogo wa airpot lolll

Sio wote wanaotoka na mastaa wanatafuta umaarufu, clement alikufa na kuoza kwa wema hakutak mbwembwe za Dallas wa wolper maana na yeye wataanza kumfuatilia maisha yake
 
Huyu Dada ni Mrembo aiseee!!..

Nimejikuta Naangalia picha bila kusoma maelezo...

Daah!! ..ngoja nisome sasa 😉
 
Huyu Clement Si Ana mke Jamani??? Kwa nini kutwa kiguu na Njia hatulii kwa mkewe?? Au mkewe Hana nguvu za kike???
 
Huyu Clement Si Ana mke Jamani??? Kwa nini kutwa kiguu na Njia hatulii kwa mkewe?? Au mkewe Hana nguvu za kike???

Mke na mume yamebaki kuwa majina tu, watu wana ngololiana kwa kwenda mbele
 
Kumbe ni kama kazi aiseee

Siyo kama kazi ni kazi rasmi! Imagine actress wa bongo movie, ma star wanalipwa laki 1m wa kawaida laki 5, wa chini laki 3. Haya anallipwa laki 5 na anacheza movie 2 kwa mwaka, tena kama anabahati, hiyo 1m ataendesha maisha yake mwaka mzima? Muhimu kwao waonekane ktk movie ili simu iwe busy maisha yaendelee. Hakuna kinyaa wala aibu, wa rafiki yake anachukua tu ilimradi hesabu.
 
Hahhaha MZIMU watakwambia hawafuati ladha wanafuata mapishi sasa sijui wakishakula wanacheua micheuo tofauti mwe! Ni Shiiiiidaaaa mjini hapa. Huyu Clement huyu, ngoja tu ninyamaze!

Hata hayo mapishi nikitu cha kurekebisha tu. Sio kilema.
 
tuache masihara mkuu Mndengereko huyu mtoto ni pini balaa hata wema hafiki. Hivi bongo watt wazuri kama hawa jamani wanafichwa wapi au ndip viwanja wanavo hang around ni levo nyingine kabisa? maana its obviously huwez mkuta mtt kama huyu breakpoint au Bills. daah,itabid mim na mkuu wangu wa kazi WAHEED SUDAY tudevelop android app yakukamata vipusa vikali kama hivi!
 
Last edited by a moderator:
Hako ka naima nitsfutie namba yake mkuu wangu. Mndengereko
 
Last edited by a moderator:
Yuko so cute aisee Wema kachuja hamna kitu humo
 
Hako ka naima nitsfutie namba yake mkuu wangu. Mndengereko

Kama unaweza kuhonga gari na kumuwekeaa pesaa kama milion50 kwenye akaunti yake sema haraka nikuunganishee au unataka kupeleka kisura chako cha mapenzi !!
 
Last edited by a moderator:
Kama unaweza kuhonga gari na kumuwekeaa pesaa kama milion50 kwenye akaunti yake sema haraka nikuunganishee au unataka kupeleka kisura chako cha mapenzi !!
Dinazarde au ni wewe huyu ??

Mbona kama mnafanana?? 😉
 
Last edited by a moderator:
Kama unaweza kuhonga gari na kumuwekeaa pesaa kama milion50 kwenye akaunti yake sema haraka nikuunganishee au unataka kupeleka kisura chako cha mapenzi !!

basi nimegairi nataka mtu aniunganishe na wewe hapo mrembo
 
basi nimegairi nataka mtu aniunganishe na wewe hapo mrembo

dalali nipo hapa,sema dau lako mwisho sh ngapi huyo hataki milioni 50 wala nini smatyphone ya maana tu.na maneno laini laini tu,ila kati ya 6 pack na garden lovesijajua anapenda nini ila kuondoa usumbufu ni vyema ukawa navyo vyote.!
 
Hako ka naima nitsfutie namba yake mkuu wangu. Mndengereko

mkuu huyo achana nae levo za kina mengi huyo usije ukamaliza mtaji wako bure.huyo unatuma m2 ya vocha alafu bado unabipiwa kisa umetuma hela ndogo.
 
Last edited by a moderator:

develop app,develop software hata os kama unaweza ila baba hapo kinachoangaliwa hela tu,kama huna sahau hata kuitikiwa salam yako
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…