Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 50,587
- 71,492
Ukitaka utapata, lakini lazima uingie ktk matandao wa hawa mabinti, na uwe na quality kama zao, madalali wakujue, hawa ndiyo ma connector wazuri kwa wadau na warembo, ila simu yako itakuwa busy sana, itabidi utafute line rasmi kwa issue hizo, nyingine ibaki ya family na ndugu, ukiwa site line yao unazima au always ibaki silent!.
Kumbe ni kama kazi aiseee