Mfahamu 'Ringberia Kanyaboya' wa Kariakoo alivyosababisha uwepo wa neno 'Kanyaboya'

Mfahamu 'Ringberia Kanyaboya' wa Kariakoo alivyosababisha uwepo wa neno 'Kanyaboya'

KANYABOYA

Kanya Boya ni BOXER bondia wa ngumi za kulipwa wa Burundi

Bondia huyu Felix Kanyaboya kati ya Miaka ya 1986 / 1987 alikuja kucheza Tanzania , Alikuwa anafikia Hotel za Kariakoo.

Bondia huyu alikuwa na Mikwala mingi saana na siku ya Mechi anatoka Hotelini Kariakoo anatembea kwa Miguu akiwa kavalia kabisa Gloves , ring bout, Gum sheed, anapiga shadow box njia nzima na watu wanamshangilia mpk Railways Club Gerezani

Akipanda Ulingoni Round zake 2 tu kapigwa KO mbaya , ndipo Jina lake likavuma KANYABOYA

Anajifanya anajua ngumi, mbwembwe nyingi akipanda Ulingoni anapigwa ndio jina likakuwa KANYABOYA
Yupo wapi huyu
 
Back
Top Bottom