warumi
R I P
- May 6, 2013
- 16,218
- 18,440
Ila jamani huyu dogo janja anajitafutia ugonjwa wa moyo aje kufa bure siku si zake, sasa na yeye kwa akili zake kabisa akajua mwenyewe atamtuliza uwoya ? , namuonea huruma sana aiseeh
Uwoya sasa hvi yuko busy na danga lake jipya na tattuuu Kajichora, mtoto anapewa bata la nguvu , Mara Dubai , sasa hivi anazunguka tu kila sehemu anakula bata , dogo Janja naona anamlinda krish na nyumba
Kwanza huyo dogo janja anaishi kwenye nyumba ambayo mlipaji kodi ni salaa, yani haka katoto kalijiona kajanja kumpata uwoya , ngoja anyooshwe vizur kwanza
Uwoya sasa hvi yuko busy na danga lake jipya na tattuuu Kajichora, mtoto anapewa bata la nguvu , Mara Dubai , sasa hivi anazunguka tu kila sehemu anakula bata , dogo Janja naona anamlinda krish na nyumba
Kwanza huyo dogo janja anaishi kwenye nyumba ambayo mlipaji kodi ni salaa, yani haka katoto kalijiona kajanja kumpata uwoya , ngoja anyooshwe vizur kwanza