Tetesi: Mfahamu Salaah , danga jipya la Irene Uwoya

Tetesi: Mfahamu Salaah , danga jipya la Irene Uwoya

warumi

R I P
Joined
May 6, 2013
Posts
16,218
Reaction score
18,440
Ila jamani huyu dogo janja anajitafutia ugonjwa wa moyo aje kufa bure siku si zake, sasa na yeye kwa akili zake kabisa akajua mwenyewe atamtuliza uwoya ? , namuonea huruma sana aiseeh

Uwoya sasa hvi yuko busy na danga lake jipya na tattuuu Kajichora, mtoto anapewa bata la nguvu , Mara Dubai , sasa hivi anazunguka tu kila sehemu anakula bata , dogo Janja naona anamlinda krish na nyumba

Kwanza huyo dogo janja anaishi kwenye nyumba ambayo mlipaji kodi ni salaa, yani haka katoto kalijiona kajanja kumpata uwoya , ngoja anyooshwe vizur kwanza
 
Sometimes sisi wanaume visukari na presha huwaga tunavishobokea wenyewe, wanawake wengine ni wa kugonga na kutambaa zako. Huyu dogo janja kujitia u shwarzniger wa moyo, kaamua kulivaa wakati Kuna vitoto kibao vibichi vya age yake.
 
Tajiri Mtata
IMG_20181002_225201.jpg
 
Raha ya danga upate mzuri halafu mwenye pesa , halafu anajua kuhonga, mbona uwoya maisha yake , sasa hvi dollar hazimpig chenga, sema na akumbuke tu kuji invest , awaulize akina wema yaliyowakuta, sasa hvi wanalilia majina
Warumi mimi najua kuhonga, hebu njoo unidange, nitakupa bata za kufa mtu.
 
yaan ww dogo ni mbeya San story zako zote ni hao akina diamond sijui irean acha izo mwanaume hamcheki mwanaume mwenzio uo sio ulijali
 
Back
Top Bottom