Amri97
Member
- Sep 11, 2020
- 87
- 98
Yule wa kuitwa Ninja, maeneo ya OtopoloniMchezaji wa kimataifa kutokea Ubelgiji aliyepata umaarufu mkubwa kwa kujifunga magoli matatu (hat-trick) ndani ya mechi moja
Stan van de buys aliyekuwa akiichezea timu ya Germinal ekeren.
mnamo msimu wa 1994 -1995 kwenye ligi ya Ubelgiji (The Belgian Jupiler league), timu ya Anderlecht ilijinyakulia ubingwa mnono wa magoli 3-2 dhidi ya Germinal ekeren hali ya kuwa magoli yote yalitokana na kujifunga kwa staa Van de buys. Tumfananishe na mchezaji gani hapa Bongo?