XII Tz
JF-Expert Member
- Aug 16, 2020
- 4,345
- 7,076
Mchezaji wa kimataifa kutokea Ubelgiji aliyepata umaarufu mkubwa kwa kujifunga magoli matatu (hat-trick) ndani ya mechi moja
Stan van de buys aliyekuwa akiichezea timu ya Germinal ekeren.
mnamo msimu wa 1994 -1995 kwenye ligi ya Ubelgiji (The Belgian Jupiler league), timu ya Anderlecht ilijinyakulia ubingwa mnono wa magoli 3-2 dhidi ya Germinal ekeren hali ya kuwa magoli yote yalitokana na kujifunga kwa staa Van de buys. Tumfananishe na mchezaji gani hapa Bongo?
Stan van de buys aliyekuwa akiichezea timu ya Germinal ekeren.
mnamo msimu wa 1994 -1995 kwenye ligi ya Ubelgiji (The Belgian Jupiler league), timu ya Anderlecht ilijinyakulia ubingwa mnono wa magoli 3-2 dhidi ya Germinal ekeren hali ya kuwa magoli yote yalitokana na kujifunga kwa staa Van de buys. Tumfananishe na mchezaji gani hapa Bongo?