Usinitishe wewe! Fata nyuki, ule asali!
Hili ni Jukwaa Huru! Tupo hapa kuelimishana na sio vinginevyo!
Hivi kwani huwa hamuelewi jinsi wanasiasa wanavyotumia lugha sanifu na lugha ya kimuundo kuelezea taswira kamili ya Tanzania?
Kuna mwanasiasa fulani alishawahi kuwepo na sasa hivi ni marehemu, alifariki kwa ajali ya gari.
Alinukuliwa akisema hivi - "Paul Kagame amesambaza makachero wa kinyarwanda [ kitusi ] kila kona ya nchi ya Tanzania pamoja na ukanda huu wa maziwa makuu.
Jamii ya kitusi yaani watusi wamekuwa wakiendesha shughuli zote za kiuchumi na kushika nyanja zote ikiwemo Afya, Elimu, Dini, Siasa, Ulinzi na Biashara zote!"- mwisho wa kunukuu.
Sasa huyu Paul Kagame ni nani kwa upande wa Tanzania?
Na hawa watusi ni kina nani kwa upande wa Tanzania?
Mbona idadi yao hawafiki hata milioni mbili huko kwao Rwanda? Na imekuaje wametapakaa Tanzania nzima hawa watu wasiozidi milioni mbili?
Kwa wale waliowahi kufika Rwanda au hata kuishi Rwanda watafahamu kuwa yale yanayosemwa Tanzania kuhusu huyu Rais Paul Kagame ni tofauti kabisa na uhalisia.
Sema kwa utashi wa lugha ya kimuundo na kifasihi walichagua kumuelezea Paul Kagame kama ni muhanga kwa yale yanayofanyika Tanzania.
Sasa huyu Paul Kagame wa Tanzania ni nani? Na hawa kabila la watusi ni kina nani?
Huyu Paul Kagame sasa hivi ni Hayati [ ... ] na hawa watu wa kabila la watusi ni wakina Ramadhani, yaani ni wakina RAMA [ MARA ].
Huyu Hayati anaishi mpaka leo kutokana na mifumo aliyoiweka ndani ya chama tawala na serikali kwa ujumla.
Sio siri! Wametapakaa nchi nzima na wameshika sekta zote ikiwemo hii taasisi ya Elimu yaani NECTA.
Kwani huyu Paul Kagame wa Tanzania ilitawala Tanzania kwa miaka 24 na hata baada ya kung'atuka aliendelea kuwa na nguvu na ushawishi mpaka pale alipopatwa na mauti miaka ya 2000 kurudi nyuma mwaka mmoja.
Kwa hiyo madhara yaliyotokana na utawala wake yanaendelea kuwepo kwa makadilio ya miaka 30 baada ya umauti wake.
Yaani tunaweza kusema hivi, miiko na mambo aliyoyaasisi huyu Hayati yanaweza kukoma kuanzia mwaka 2030 na kuendelea kwa sababu tunaamini kuna wakina RAMA wengine aliwaacha serikalini mpaka leo wameendelea kushika nyadhifa kubwa serikalini ikijumuisha sekta nyeti na wengine wapo kwenye Baraza la Mawaziri mpaka leo.
Hawa wakina Ramadhani [ RAMA ] hawajitambulishi kwa makabila yao kwani itakuwa ni vyepesi kuwatambua ajenda yao iliyo sirini.
Kwa hiyo wanakuja kwa makabila tofauti, kwani zamani kubadilisha kabila ilikuwa ni kama kubadilisha dini hivi leo.
Na wengine walibadili hadi ubini yaani majina yao ya ukoo pamoja na dini lakini dhumuni ilikuwa na inaendelea kuwa - kudumisha fikra na malengo ya Paul Kagame wa Tanzania, yaani Hayati.
Wamejijenga vizuri sana na wametapakaa Tanzania nzima, nchi zote za maziwa makuu na kila nchi ambapo kuna ubalozi wa Tanzania, hawa wakina RAMA wapo!
Ni mtandao hatari sana! Na zamani walikuwa wanajitambulisha kwa jina la "JAMHURI YA WATU WA CHUI" lakini kulingana na nyakati zinavyobadilika, walibadilisha jina na kujiita "SERENGETI". Ni hatari mno! Muda wowote na mahala popote wanaweza kufanya lolote.
Hawa "SERENGETI" ndio waliofanya tukio japo sio rasmi kuzungumzia humu! Na sio Paul Kagame wa Rwanda, kama watu wengi wanavyodhani! Apumzike kwa amani aliyekuwa Mwenyekiti wa chama cha siasa na mchungaji CHRISTOPHER!
Hawa hawa "SERENGETI" ndio waliofanya tukio la kushambuliwa kwa mbunge wa upinzani nchini Tanzania, miaka michache iliyopita.
Hii inatokana na kutoa maneno ya dhihaka na kejeli kwa huyu Hayati kwenye moja ya kikao cha Bunge kilichofanyika Bunge lililopita.
Tusiwabeze hawa "SERENGETI" kwani wako vizuri! Tena wako vizuri sana! Maana wameshika majeshi yote na sekta zote za serikali kwa kubadilisha makabila ili waonekane ni tofauti lakini siku zote wataendelea kubaki kuwa wamoja kama asili yao inavyosema, yaani wakina RAMA.
Hawa wakina RAMA ndio waliojazana pale NECTA na ndio wanaopika matokeo ya wanafunzi kwa masilahi yao na sio masilahi ya taifa la Tanzania.
Wako "too selective" na "too smart" kwa kile wanachokifanya pale NECTA.
Hawa ndio wanaoamua ni mwanafunzi gani awe wa kwanza na mwanafunzi gani apate daraja gani la ufaulu.
Ni hatari mno hata kwa maisha ya kila siku. Kwani wanaweza kuondoa mtu yoyote wanayedhani ni hatari kwa masilahi yao.
Hawa "SERENGETI" wanaoendelea kuwa hatari hadi nyakati hizi! Ogopa kabisa hawa watu mpaka wana kanisa lao linaitwa "MENO-NAITI" na ni tofauti kabisa na kanisa KATOLIKI kama watu wengi wanavyodhani!
Na walishaanza kumuabudu Hayati kwa kumfananisha na YESU kwani wao wanaamini ni mkombozi wao.
Sasa hawa "SERENGETI", kuna kikosi kazi ambacho kinashambulia mtu yoyote anayemkashifu mkombozi wao, YESU yaani Hayati!.
Pole yake kwa yule mbunge aliyejeruhiwa kwa risasi nyingi pale Dodoma. Hii iwe fundisho na angalizo kwa yoyote atakayetoa maneno ya dhihaka kwa huyu Hayati. Kwani ni hatari mno na wanaweza kukufanya uwe historia.
Sasa turudi kwenye mada husika, Rais Magufuli anatakiwa kutangaza matokeo ya wanafunzi bora waliofanya vizuri kitaifa kwa miaka iliyopita na kufumua Balaza la Mitihani yaani NECTA kwa sababu hawa wakina RAMA wamejazana mpaka wafagiaji.
Ikibidi hili Balaza la Mitihani yaani NECTA lihamishiwe makao makuu ya nchi yaani Dodoma.
Hao watumishi wa NECTA mpaka huyo Katibu Mkuu wa Balaza la Mitihani apangiwe majukumu mengine kwani ni hatari mno! Hao ndio wakina RAMA yaani Jamhuri Ya Watu Wa Chui yaani SERENGETI!
Hata yule aliyekuwa Katibu Mkuu wa Balaza la Mitihani aliyepita inatakiwa asirudi Bungeni, hii ikiwa ni moja ya njia ya kuwapunguza hawa wakina RAMA kwani ni hatari mno!
Na ifike mahala kuwepo na sheria za wanafunzi wa shule za msingi yaani "PRIMARIES ACTS" na sheria za wanafunzi wa shule za sekondari yaani "SECONDARIES ACTS" kama ilivyo kwa wanafunzi wa vyuo vikuu, kwani huwa kuna sheria inayosimamia haki za wanafunzi wa vyuo vikuu inaitwa "UNIVERSITIES ACTS".
Hii itasaidia kutoa haki kwa wanafunzi wote bila ya kujali Ukanda, Ukabila, Udini na Rushwa haitapenya hapa kama kukiwa na sheria za wazi zinazolinda masilahi ya wanafunzi wote.