tuusan
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 17,972
- 20,221
HogwashNow you have to shut your mouth up! Is it necessary for you to comprehend on every topic? Take pills and chill!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HogwashNow you have to shut your mouth up! Is it necessary for you to comprehend on every topic? Take pills and chill!
Get off the internet, you wank wanker!Hogwash
Keyboard warrior[emoji23][emoji23][emoji23],Why you care?FYI you cannot command meGet off the internet, you wank wanker!
Wank Wanker!Keyboard warrior[emoji23][emoji23][emoji23],Why you care?FYI you cannot command me
Umeishiwa tayarWank Wanker!
Acha kujifafanya mjuaji kwa vitu usivyo na hakika navyo.Wewe unalolijua tuwekee orodha ya wanafunzi bora hapa 😂😂😂
Yani mtu aliyepata bachelor degree baada ya miaka 11 ndo unamsifia hivi!!?
Nlivoanza kusoma uzi nlifikiri ntakutana na mtaalamu aliyevumbua kitu fulani kumbe ni mwalimu wa tuition.
Weka orodha hapa!Mbona walikuwa wanatangaza kabla ya mwaka 2016.. Au wewe ulikuwa tanzania ya wapi ??
Mimi mwenywe nimemaliza 2009 lakin nawajua baadhi ya watu waliokuwa top 10..
Nimeishiwa nini?Umeishiwa tayar
Orodha zipo wait utapewaJamiiforums sio kijiwe! Kama hizo orodha zipo naomba utuoneshe!
Acha kujifafanya mjuaji kwa vitu usivyo na hakika navyo.
TOP TEN BEST FORM SIX STUDENTS NECTA 2012,
Click hiyo link kisha urudi hapa.
Amesha pewa hiyo hapo juu anapita km haioniOrodha zipo wait utapewa
Bora hata kapewa huyo ni mbishi san aaahAmesha pewa hiyo hapo juu anapita km haioni
Hmm! English is not a rice plate eating!I've secured a job couple of years ago
ThanksHmm! English is not a rice plate eating!
Hmm! Kiingereza sio kama kula ubwabwa kwenye sahani!
It'd be properly stated that - "I've a secured job since couple of years ago."
Hata kuandika sentensi ya kiingereza inakushinda! Ilikuaje ukapata shahada yako?
Labda hatuelewani! Matokeo ya wanafunzi bora kwa madarasa yote kuanzia darasa la saba, kidato cha nne na kidato cha sita yameanza kutangazwa rasmi mwaka 2016.Acha kujifafanya mjuaji kwa vitu usivyo na hakika navyo.
TOP TEN BEST FORM SIX STUDENTS NECTA 2012,
Click hiyo link kisha urudi hapa.
Simple ile kinoma 😂😂Huyu TO yupo simple sana
hahahah unaweza usiamini ukikutananaye kama alikuaga TOSimple ile kinoma 😂😂