Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Urembo wake upo wapi?Ni binti mrembo na asiyekua na makuu, umaarufu wake ulipamba moto baada ya kuwa na bifu na Hamisa Mobetto baada ya mrembo huyo kudai kuchukuliwa mwanaume na Hamisa .
Hivi sasa mrembo huyo yupo zake Dubai akila bata
Naona domo sijui bado hajamuona maana Ndio type zake hizi
View attachment 1610444
View attachment 1610445
Waswahi bana, huyu kaenda zake whitesand kapiga picha kwenye sanitizer na kwenye ufukwe then yupo dubai, shida kwelikweliNi binti mrembo na asiyekua na makuu, umaarufu wake ulipamba moto baada ya kuwa na bifu na Hamisa Mobetto baada ya mrembo huyo kudai kuchukuliwa mwanaume na Hamisa .
Hivi sasa mrembo huyo yupo zake Dubai akila bata
Naona domo sijui bado hajamuona maana Ndio type zake hizi
View attachment 1610444
View attachment 1610445
Tasifida hupunguza ukali wa maneno....Kazi yake KUDANGA.Hili neno kudanga limekuja kulilemba neno umalaya,hapo ukimwambia ww malaya ana kasirikia,ila ukimwita mdangaji anaona poa kumbe kitu kilekile.
Waswahi bana, huyu kaenda zake whitesand kapiga picha kwenye sanitizer na kwenye ufukwe then yupo dubai, shida kwelikweli
Slay queens mara nyingi biashara zao ni u model, vipodozi, boutique etc.
behind the scene wanauza K kimtindo
Mi nikikutanaga na wasanii ana kwa ana, uwa siwatambui hadi niambiwe.
Ni juzi tu nilimuona Hemed Mliman ndio nikamjua direct.
Ila wengine labda watu nione wanamshangaa au nilienae aniambie yule fulani.
Yaani hawafanani kabisa na picha au video wanazotupostia.
Weka namba zakeNi binti mrembo na asiyekua na makuu, umaarufu wake ulipamba moto baada ya kuwa na bifu na Hamisa Mobetto baada ya mrembo huyo kudai kuchukuliwa mwanaume na Hamisa .
Hivi sasa mrembo huyo yupo zake Dubai akila bata
Naona domo sijui bado hajamuona maana Ndio type zake hizi
View attachment 1610444
View attachment 1610445
.Huyu ni malaya kama malaya wengine! watu wanafika dau wanawatumia kisha wanawaacha.Huko Dubai yupo na sponsor sio hela zake na huyo Domo unayemsema ashampitia zamani tu ,ifike mahali watanzania tujikite kuwasifia wanawake wenye mafanikio kutokana na elimu zao,au bidii katika kupambana na maisha sio hawa jamaa ya walima Mpunga na mchele.huyu mdangaji tu,Dubai kuna mtu kalipa yupo nae akimalizana nae tutamkuta basement kijitonyama anatafuta madanga
Ni binti mrembo na asiyekua na makuu, umaarufu wake ulipamba moto baada ya kuwa na bifu na Hamisa Mobetto baada ya mrembo huyo kudai kuchukuliwa mwanaume na Hamisa .
Hivi sasa mrembo huyo yupo zake Dubai akila bata
Naona domo sijui bado hajamuona maana Ndio type zake hizi
View attachment 1610444
View attachment 1610445
Urembo wake ni nini ati?
Sio ndugu bali ujamaaHuyu ana undugu na kina esma ndio maana diamond kamuacha
😂😂😂😂😂😂 kmmmk hamna demu humu,hizi makeup hizi😁😁
Matiti saaasa mmmh
Kwasababu we una tako au sio 😹😹Nilikutana nacho m.city asee kawaida sana
Kwaiyo huyu huyu demu wangu flan hapo sinza ana duka kubwa kumbe anauza k dubeyiii ananizuga ni safar tu na dada...Ni hivi huko dubeyii wanajiuza kwenye ma hotel makubwa moja naifahamu wanaweza kaa hata wiki akikusanya pesa ananunua na vitu kuja kuweka kwenye maduka yao dalisalama
Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app