Mfahamu Volodymyr Zelensky, Rais wa Ukraine

Mfahamu Volodymyr Zelensky, Rais wa Ukraine

ameshakimbilia poland baada ya kutonya kuwa sniper wa urusi wapo kiev
Wabongo mna mambo kweli kweli. Yaani wewe una taarifa nyingi na za kuaminika kuliko wananchi wa Ukraine wanaoongozwa naye kwenye mapambano.

Kama angekimbia nchi lazima Urusi ingesema ili kuwadhoofisha wananchi wa Ukraine kwamba Rais wao amewasaliti.

Jamaa ni kidume hasa anawachachafya Urusi hadi dakika hii hawaelewi chakufanya hadi Putin anakimbilia vitisho vya nyuklia baada ya kuona ngoma ngumu.

Russia kajidhalilisha sana ameonesha udhaifu wa askari wake kuanzia wa anga,nchi kavu na majini. Hata waliokuwa wanaaminishwa nguvu ya kijeshi ya Urusi wameanza kupata mashaka.
 
UKISOMA HII SUMMARY FUPI UTAONA KWAMBA RUSSIA HAKUTAKA UKRAINE AINGIE EU NA EU WAKATAKA KUWEKA MTU AMBAYE NI PRO EU BILA RUSSIA KUELEWA KWANI WALIMUONA KAMA CLOWN.DAKIKA ZA MWISHO WALIPOSIKIA HADI NATO NAKO ANATAKA KUINGIA AKAAMUA KUKIAMSHA HUKU AKIWA AMESHACHELEWA.


"Relations between the two countries have been hostile since the 2014 Revolution of Dignity, which toppled Ukraine's elected president Viktor Yanukovych and his supporters, because he refused to sign a political association and free trade agreement with the European Union that enjoyed majority support in Ukraine's parliament. Ukraine's post-revolutionary government wished to commit the country to a future within the EU and NATO, rather than continue to play the delicate diplomatic game of balancing its own economic and security interests with those of Russia, the EU, and NATO members. In 2004 the Czech Republic, Estonia, Hungary, Latvia, Lithuania, Poland, and Slovakia had joined the EU, followed by Bulgaria and Romania in 2007 (see Member state of the European Union). The Russian government feared that Ukraine's membership of the EU and NATO would complete a western wall of allied countries by restricting Russia's access to the Black Sea. With South Korea and Japan being allied to the US, the Russian government was concerned that Russia was being ring-fenced by potentially hostile powers. In the wake of the Revolution of Dignity, Russia backed separatist militias in the Donetsk People's Republic and the Luhansk People's Republic in a war in Ukraine's economically important Donbas region, on its eastern border with Russia. This region has a Russian ethnic majority. By early 2022 the Russo-Ukrainian War had killed more than 13,000 people, and brought some Western sanctions on Russia.[2]"
Shukran
 
Kwa hiyo alivyoigiza kuwa Rais kwenye tv wakajua atawaongoza vyema hata kwenye maisha halisi...wasijue kwenye tv kuna stori.

Sasa ni wapi na lini ameshindwa kuwaongoza vema wananchi wake?
 
Kati ya miaka 2015-2019, Kvartal 96 ilirusha mfululizo wa vipindi vya televisheni vilivyoitwa Servant of the People ambapo Zelensky aliigiza kama Rais wa Ukraine. Chama cha siasa Servant of the People kilianzishwa Machi 2018 na wafanyakazi wa Kvartal 05.
Hapo ndio Katibu Mwenezi wa Chama alipozubaa kumdhibiti Zelensky
 
We huoni hio ilikuwa PROJECT.Unaanza na series ambayo ina maudhui ya kisiasa,kisha unaanzisha chama ambacho tayari Jina lake ni Maarufu kwenye akili za watu,Mshiriki wa filamu husika Ndiye anakuwa mgombea kisha ...................
Sawa nimekusoma kaka.
 
Kati ya miaka 2015-2019, Kvartal 96 ilirusha mfululizo wa vipindi vya televisheni vilivyoitwa Servant of the People ambapo Zelensky aliigiza kama Rais wa Ukraine. Chama cha siasa Servant of the People kilianzishwa Machi 2018 na wafanyakazi wa Kvartal 05.
Asante kw anyongeza hiyo
 
Kwa hiyo alivyoigiza kuwa Rais kwenye tv wakajua atawaongoza vyema hata kwenye maisha halisi...wasijue kwenye tv kuna stori.
Hata hivyo mpaka sasa Ukraine inamuamini
 
Wabongo mna mambo kweli kweli. Yaani wewe una taarifa nyingi na za kuaminika kuliko wananchi wa Ukraine wanaoongozwa naye kwenye mapambano.

Kama angekimbia nchi lazima Urusi ingesema ili kuwadhoofisha wananchi wa Ukraine kwamba Rais wao amewasaliti.

Jamaa ni kidume hasa anawachachafya Urusi hadi dakika hii hawaelewi chakufanya hadi Putin anakimbilia vitisho vya nyuklia baada ya kuona ngoma ngumu.

Russia kajidhalilisha sana ameonesha udhaifu wa askari wake kuanzia wa anga,nchi kavu na majini. Hata waliokuwa wanaaminishwa nguvu ya kijeshi ya Urusi wameanza kupata mashaka.
endelea kuongea wenzako wameanza kutumia mabomu ya petrol
 
We huoni hio ilikuwa PROJECT.Unaanza na series ambayo ina maudhui ya kisiasa,kisha unaanzisha chama ambacho tayari Jina lake ni Maarufu kwenye akili za watu,Mshiriki wa filamu husika Ndiye anakuwa mgombea kisha ...................
Umeona kwa ndan sana mdau. Inaonekana aliandaliwa km Gorbachev aliyeangusha ussr
 
Back
Top Bottom