NetMaster
JF-Expert Member
- Sep 12, 2022
- 1,454
- 4,925
Bwana Yesu asifiwe wakuu, wasalaam waleikum
Uzi huu kwa namna yoyote sihamashi ndoa za mabinti wadogo bali ni kuwekana sawa tu kwamba katika zama za kale tamaduni hazikuruhusu tu upande wa Mohammed kwa kiasi kikubwa waarabu kuoa mabinti wadogo bali ni hata kwa waisrael na mababu zetu wa hapa Afrika, hivyo ninatoa elimu kuweka mambo sawa.
Kumekuwa na hali iliyozoeleka baadhi ya wakristo wakihoji ni vipi Muhammad alioa msichana mdogo ila kwa upande wao wanasahau kujihoji ni vipi watu kama Mfalme Daudi akiwa na miaka 90 alioa msichana mdogo wa rakribani miaka 9 hadi 10.
Katika biblia tafsiri za lugha zingine zimetambua tu kwamba mfalme daudi alioa binti mdogo pasipo kuweka wazi ni rika lipi na sijui kwanini hawakuweza kuweka hata kwenye mabano.
Mfalme Daudi, wakati alipokuwa mzee sana takribani miaka 90, watumishi wake walimfunika kwa mablanketi, lakini hata hivyo, hakuweza kupata joto. Kwa hivyo wakamwambia, “Bwana wetu mfalme, afadhali tukutafutie msichana akutumikie na kukutunza; alale pamoja nawe kusudi akupatie joto.”
Daudi muda huo alikuwa tayari mzee sana takribani miaka 90, akaoa binti wa miaka takribani 9 ama 10, kwa uzee alionao Daudi kwa miaka hio ilikuwa ngumu kufanya tendo na binti lakini binti aliweza kulala nae kitanda kimoja kwajili ya kumpa joto pekee pasipo kufanya s*x.
Mabinti wenye miaka chini ya 12 walijulikana kama NA’ARAH ( נַעֲרָה ) - hawa ni mabinti ambao waliweza kuolewa na wafalme ama viongozi wa dini wa hadhi ya juu (high priests) katika falme ya israel, ikumbukwe kwa wakati huo tamaduni za Israel ilikuwa kwamba binti akishafika miaka 12 na kuaga rika la NA’ARAH hapo ilikuwa ndio umri wa kuolewa, sijajua ilikuwa vipi mabinti wadogo wa miaka 13 hadi 15 wanaolewa na hata Mariam kuwekwa mimba kimiujiza akiwa bado binti mdogo (toho inanisita kuamini) lakini kwa dunia ya sasa huo umri hatuwezi kukuelewa,
Maandiko yenye mfano wa hao mabinti chini ya miaka 12 kuolewa mfano wake ni huu hapa 1 wafalme 1: 2-3. kwa lugha zingine wametafsiri ni binti mdogo na wengi kwa mazingira ya kisasa tunaweza vuta picha ni binti wa miaka 19 lakini neno lililotumika katika maandiko ya ki israel yameonesha wazi kabisa binti alieolewa ni chini ya miaka 12 a.k.a NA’ARAH ( נַעֲרָה )
Uzi huu kwa namna yoyote sihamashi ndoa za mabinti wadogo bali ni kuwekana sawa tu kwamba katika zama za kale tamaduni hazikuruhusu tu upande wa Mohammed kwa kiasi kikubwa waarabu kuoa mabinti wadogo bali ni hata kwa waisrael na mababu zetu wa hapa Afrika, hivyo ninatoa elimu kuweka mambo sawa.
Kumekuwa na hali iliyozoeleka baadhi ya wakristo wakihoji ni vipi Muhammad alioa msichana mdogo ila kwa upande wao wanasahau kujihoji ni vipi watu kama Mfalme Daudi akiwa na miaka 90 alioa msichana mdogo wa rakribani miaka 9 hadi 10.
Katika biblia tafsiri za lugha zingine zimetambua tu kwamba mfalme daudi alioa binti mdogo pasipo kuweka wazi ni rika lipi na sijui kwanini hawakuweza kuweka hata kwenye mabano.
Mfalme Daudi, wakati alipokuwa mzee sana takribani miaka 90, watumishi wake walimfunika kwa mablanketi, lakini hata hivyo, hakuweza kupata joto. Kwa hivyo wakamwambia, “Bwana wetu mfalme, afadhali tukutafutie msichana akutumikie na kukutunza; alale pamoja nawe kusudi akupatie joto.”
Daudi muda huo alikuwa tayari mzee sana takribani miaka 90, akaoa binti wa miaka takribani 9 ama 10, kwa uzee alionao Daudi kwa miaka hio ilikuwa ngumu kufanya tendo na binti lakini binti aliweza kulala nae kitanda kimoja kwajili ya kumpa joto pekee pasipo kufanya s*x.
Mabinti wenye miaka chini ya 12 walijulikana kama NA’ARAH ( נַעֲרָה ) - hawa ni mabinti ambao waliweza kuolewa na wafalme ama viongozi wa dini wa hadhi ya juu (high priests) katika falme ya israel, ikumbukwe kwa wakati huo tamaduni za Israel ilikuwa kwamba binti akishafika miaka 12 na kuaga rika la NA’ARAH hapo ilikuwa ndio umri wa kuolewa, sijajua ilikuwa vipi mabinti wadogo wa miaka 13 hadi 15 wanaolewa na hata Mariam kuwekwa mimba kimiujiza akiwa bado binti mdogo (toho inanisita kuamini) lakini kwa dunia ya sasa huo umri hatuwezi kukuelewa,
Maandiko yenye mfano wa hao mabinti chini ya miaka 12 kuolewa mfano wake ni huu hapa 1 wafalme 1: 2-3. kwa lugha zingine wametafsiri ni binti mdogo na wengi kwa mazingira ya kisasa tunaweza vuta picha ni binti wa miaka 19 lakini neno lililotumika katika maandiko ya ki israel yameonesha wazi kabisa binti alieolewa ni chini ya miaka 12 a.k.a NA’ARAH ( נַעֲרָה )