Mfalme Faisal II wa Iraq aliuliwa 1958 na wanajeshi wake katika mapinduzi

Mfalme Faisal II wa Iraq aliuliwa 1958 na wanajeshi wake katika mapinduzi

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
57,761
Reaction score
216,011
1658216701023.png

Ilikua mwaka 1958 Mfalme Hussein wa Jordan aliomba msaada wa kijeshi kutoka Iraq ili kukabiliana na mgogoro wa Lebanon. Mkuu wa majeshi wa Iraq, Colonel Abd al-Karim Qasim aliandaa jeshi. Cha kushangaza alilielekeza jeshi kuingia Ikulu ya Mfalme mjini Baghdad. Mfalme Faisal aliamuru askari wake wasijibu mashambulizi bali wajisalimishe.

Jeshi lilimuamuru Mfalme Abdalah, mke wake Hiyam, mama yake Nafeesa, shangazi yake Abadiya pamoja na wafanya kazi watiifu wa Mfalme wageukie ukutani. Walipigwa risasi. Wote walipoteza maisha pale pale isipokua Mfalme aliokolewa lakini alifia njiani akielekea hospitali.

Kiongozi wa Mapinduzi haya Alikua Kaptain Abdul Sattar Saaba Al-lbousi.

1658217823584.png

Mfalme Malik Faisal II akikabidhi shahada kwa wahitimu wa chuo kikuu cha Baghdad mwaka 1955.
 
Mission ilikuwa n kwenda Jordan, lakini general akageuza njia na kwenda Ikulu ya Baghdad
 
Dogo alichukua ufalme baada ya kifo cha ajali ya gari cha baba yake King Ghazi
 

Ilikua mwaka 1958 Mfalme Hussein wa Jordan aliomba msaada wa kijeshi kutoka Iraq ili kukabiliana na mgogoro wa Lebanon. Mkuu wa majeshi wa Iraq, Colonel Abd al-Karim Qasim aliandaa jeshi. Cha kushangaza alilielekeza jeshi kuingia Ikulu ya Mfalme mjini Baghdad. Mfalme Faisal aliamuru askari wake wasijibu mashambulizi bali wajisalimishe.

Jeshi lilimuamuru Mfalme Abdalah, mke wake Hiyam, mama yake Nafeesa, shangazi yake Abadiya pamoja na wafanya kazi watiifu wa Mfalme wageukie ukutani. Walipigwa risasi. Wote walipoteza maisha pale pale isipokua Mfalme aliokolewa lakini alifia njiani akielekea hospitali.

Kiongozi wa Mapinduzi haya Alikua Kaptain Abdul Sattar Saaba Al-lbousi.

View attachment 2296351
Mfalme Malik Faisal II akikabidhi shahada kwa wahitimu wa chuo kikuu cha Baghdad mwaka 1955.
Since then todate Her Majesty is still rulling; the longest serving monarch in history. Ndiye binadamu aliyekutana na wakuu wa nchi na serikali wengi zaidi duniani.
 
Since then todate Her Majesty is still rulling; the longest serving monarch in history. Ndiye binadamu aliyekutana na wakuu wa nchi na serikali wengi zaidi duniani.
Wa ana chi wake wengi wako proud kuwa na kiongozi kama yeye.
 
Wa ana chi wake wengi wako proud kuwa na kiongozi kama yeye.
Queen Elizabeth II reached a major milestone on Wednesday when she became the longest-reigning monarch in Britain’s history.

Britain paid heartfelt tribute to the queen with cheering, flag-waving crowds on the street and solemn messages in parliament as she sealed a special place in the country’s history.

At about 8.30pm UAE time, Queen Elizabeth, surpassed the 63 years, 7 months, 2 days, 16 hours and 23 minutes that her great-great-grandmother Queen Victoria spent on the throne.

Now 89, she is also the nation’s oldest ever monarch.

“Over the last 63 years, Her Majesty has been a rock of stability in a world of constant change and her selfless sense of service and duty has earned admiration not only in Britain, but right across the globe,” prime minister David Cameron told parliament in London.

Hapo ni akiwa 89; now she is 95+. God Save the Queen. What a great achievement!
 
Niliiona pahala ila sikuelewa sababu ya ku uwawa
 
Niliiona pahala ila sikuelewa sababu ya ku uwawa
Hawanaga hata sababu za maana Mzee! Soma historia ya Ottoman uone ndugu alipopata ufalme alivoinukia na kuwamaliza ndugu zake wa karibu! Ni watu wa ajabu kidogo; angalau ustaarabu wa kileo ndio umewabadiilisha.
 
Since then todate Her Majesty is still rulling; the longest serving monarch in history. Ndiye binadamu aliyekutana na wakuu wa nchi na serikali wengi zaidi duniani.
The longest serving monarch in the recorded history sio Elizabeth II, inasemwa kuwa ni Louis XIV wa Ufaransa.
 
Back
Top Bottom