Mfalme Mzee Yusuph amethibitisha kurudi kwenye taarabu

Mfalme Mzee Yusuph amethibitisha kurudi kwenye taarabu

Hance Mtanashati

JF-Expert Member
Joined
Sep 7, 2016
Posts
20,137
Reaction score
26,189
Hatimaye mfalme wa taarabu Alhaji Mzee Yusuph ametangaza rasmi ujio wake kwa mara nyingine kwenye muziki wa taarabu.

BF5DBFC7-37E4-4451-B93C-1F2280442435.jpeg


Kwa kifupi tangu mfalme akae nje ya muziki wa taarabu , muziki wa taarabu ulikosa radha kabisa maana waimbaji waliobaki wanapiga piga kelele tu cha maana wanachokiimba hakuna.

Tumemiss kusikia ngoma kali za kipindi kile kama vile Wasiwasi Wako ndio maradhi yako,My Valentine, mpenzi chocolate, VIP, Wagombano ndio wapatanao , Two in One nk.

9AB5FF05-EBA0-4656-A74E-FDD418B42D1B.jpeg


Mzee Yusuph alifanikiwa kuibua vipaji kadhaa cya wasanii wanaofanya vizuri kwenye muziki wa taarabu kama vile Abuubakar Sudi (Prince Amigo) ,Mohammed Ally (mtoto pori), Isha Ramadhani (Isha Mashauzi), Fatma Mahmoud (Fatma Nyoro), Rahma Machupa (Messi) ,Mwasiti Kitoronto nk.

Kwa sasa wasanii walioibuliwa na mzee Yusuph wanafanya vizuri kwenye bendi zao mpya wanazofanya kazi, mfano Fatma Nyoro ni msanii tegemezi wa Yah TMK , Rahma Machupa na Mohammed Ally na Mwasiti Kitoronto ni wasanii tegemezi wa Nakshi Nakshi Modern taarabu chini ya father Mauji na Chidy boy.

65138F8E-B496-4E62-960B-DC25EEE5D239.jpeg



Mashabiki tunamsubiri kwa hamu mfalme aturudishe kundini mashabiki zake tulioacha kusikiliza taarabu tangu yeye ajiweke kando na muziki huo.

Na kwa hakika jamaa atapigahela sana .
 
Aungane sasa na mwalimu wa zamani wa dini ambaye sasa yupo huko na huko na michezo ambayo ni kinyume na iman ila ukimkumbusha mambo hayo ya kheri aliyowahi kuyafanya kwenye ujana wake ........wololooo ....omera utaomba dunia apasuke
 
Chezea vyuma weyeeeeeeh, na vyenye Greece hakuna lol tutalainisha na mikojo Safari hiiiii, [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilishangaa sana, bila majibu, huyu mtu wa watu kutoka ktk huu muziki wa Taarabu. alidanganywa na wapiga hela wa Dini. kupitia Dini kuwa anacho fanya ni dhambi. kumbe Dini yenyewe ilianzishwa Vatican ili kuvuruga Maisha ya watu. Prince Katega kamfungua Macho!

sasa anarudi kwa kasi! leo anapiga Bahari beach Motel kule Kunduchi
 
Back
Top Bottom